Jifunze kumuacha aende

Halafu kamji ka Gisenyi niliwahi kaa hapo Shadeeya
Mji unatazama Lake Kivu ambao ndio mpaka wa Rwanda na Goma DRC...kwahiyo ukitaja Haruna Au Gisenyi nakumbuka mbaali sana
Wachaaaa na nkujuavyo. Lazima uukumbuke tu mji wa Gisenyi. πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
It's a good advice ngoja niufate maana wakati nnaopitia Mungu ndo anayejua[emoji30] [emoji30] Ila tatizo kamoyo nako hakataki kukubali kumuacha aende dah,ntajitahidii
Daah. we are on the same boat aisee. Sijui hata nifanyeje ila acha tu nianze moja ingawa naona nazidi kupoteza muda tu na kuwachelewesha watoto shule
 
Hahahaaa. Ngumu hiyo jirani unaeza pasha kiporo ukashindwa kumpiga na chini.

We waeza jirani?
Sasa ukishindwa kumpiga chini maana yake unampenda. Unashikilia hapo hapo.

Jiran kwann unamoyo mgumu saana
 
UTADHANI UMENIANDIKIA MIMI,NIMEPATA FARAJA GHAFLA !!!
Bravo!!!!
 
Alisamehe mdomoni ila kashindwa kulitoa rohoni, heri muishie hapo maana huyo haupo tena moyoni mwake.
Kweli mis powers shida ipo kwangu tu kumtoa rohoni na mawazoni ye binafsi ananitumia sms anawake na anampend sana, mwanzo alinambia ivo ivo ila mwisho akanambia haikua kweli ndo akanisamehe,saiv karudia tena so nakosa decision, nimepanga mwakani niandae posa ikiwa rejected basi
 
Daah. we are on the same boat aisee. Sijui hata nifanyeje ila acha tu nianze moja ingawa naona nazidi kupoteza muda tu na kuwachelewesha watoto shule
[emoji30] [emoji30] ,polee ila bora kuanza upya kuliko kumpenda mtu asokupenda, inaumiza ila ndyo hivo, Mimi kuna kamtu nakapenda ila kenyewe hakapendi hata ukucha wangu[emoji3] [emoji3] ,yaani unajua mtu hakupendi mpk unafahamu kabisa aisee
 
Ni kweli katika mapenzi muda mwingine unajikuta mtu wa stress na mawazo na kumuacha inakua ngumu nisaidien nifanye nin....hiyo msichana kila Mara yupo bize na kuchat na mtu mwingine na sometimes ananitoroka sijui nifanyaje...nimeishi nae miaka mitatu ya upenz
 
Usipomuacha aende ipo siku mmoja wenu atakaangwa mishikaki na magunia ya mkaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…