Hivi sisi wadaka chozi hamtuoni jamani [emoji23][emoji23][emoji30] [emoji30] ,polee ila bora kuanza upya kuliko kumpenda mtu asokupenda, inaumiza ila ndyo hivo, Mimi kuna kamtu nakapenda ila kenyewe hakapendi hata ukucha wangu[emoji3] [emoji3] ,yaani unajua mtu hakupendi mpk unafahamu kabisa aisee
Um
Shadeeya umenikumbusha msemo mmoja wa wahenga wa kizungu ambao tafsiri yake inasema hivi;
"Ukimpenda mtu mwache huru, akirudi huyo ni wako asiporudi ujue hakuwahi kua wako" mwisho wa kunukuu
Asili ya neno mapenzi ni "ridhaa". Yaani mtu karidhika mwenyewe akukabidhi moyo wake, akiamua kuuchukua kutoka kwako basi shukuru Mungu utafute mwingine wa kumbembeleza akukabidhi mtima wake kama huyo aliyeondoka
Kwahiyo unamaanisha hili pia ni tangazo? Haya bana mdaka machozi, njoo udake hili basi[emoji30] [emoji30]Hivi sisi wadaka chozi hamtuoni jamani [emoji23][emoji23]
Tunarudisha upendo, mapenzi na furaha iliyopotea kama uko mkoani vijana tunatuma bei zetu ni nafuu
Tuko kwa ajili yenu jaman matangazo si lazima yawe ya viwanja [emoji23][emoji23]
Nimefika mteja wanguKwahiyo unamaanisha hili pia ni tangazo? Haya bana mdaka machozi, njoo udake hili basi[emoji30] [emoji30]
[emoji2969][emoji2969]UTADHANI UMENIANDIKIA MIMI,NIMEPATA FARAJA GHAFLA !!!
Bravo!!!!
Hahahahha mapenzi hayoKweli aisee nenda naniii,,nasema nendaee kibwengu wa kike wewe uliyetumia muda wangu na pesa zangu bila huruma wala shukrani,,Nendaaaa tena una bahati nimekusau hata jina
Hahaaa, ujiandae kudaka vyote tu,vinavyotokaNimefika mteja wangu
Karibu pm ili tujue hayo machoz tunayadakaje maan wengine wanatoa hadi kamasi [emoji16][emoji16]
Pole mkuu, kama unahisi hakupendi usijilazimishe sana kwake bora kuanza upya kuliko kuendelea na mtu ambaye hana malengo yoyote na wewe.Ni kweli katika mapenzi muda mwingine unajikuta mtu wa stress na mawazo na kumuacha inakua ngumu nisaidien nifanye nin....hiyo msichana kila Mara yupo bize na kuchat na mtu mwingine na sometimes ananitoroka sijui nifanyaje...nimeishi nae miaka mitatu ya upenz
Nimejiandaa na vimiminika vyote vya mwlin[emoji16]Hahaaa, ujiandae kudaka vyote tu,vinavyotoka
Vingine si vimiminika mkuu hivyo jiandae kudaka chochote tu utakachokutana nacho[emoji3] [emoji3]Nimejiandaa na vimiminika vyote vya mwlin[emoji16]
Mteja wa sasa hv mtata kwel [emoji16]Vingine si vimiminika mkuu hivyo jiandae kudaka chochote tu utakachokutana nacho[emoji3] [emoji3]
Shauri yako, utadaka na visivyodakika ujutee[emoji3]Mteja wa sasa hv mtata kwel [emoji16]
Nko nasubiria kazi ya kuanza kuvidaka hvyo vyote
Ulimkosea kosa gani?Thank u alot,nina mwanamke sawa nimemkosea alinisamehe ila akaja tena akalianzisha now hajib sms zangu,ata call ilihali naweza mkuta online, najifunza kufunga mlango japo mazoea ,najaribu kumsihi wapi.nitamuacha aende soon nitatoa uamuzi siku yangu ya birthday apo september
AmenKuachilia ni jambo gumu sana hasa ukiwa umempenda mtu: Lakini kama ukiliweza utakuwa na maisha mazuri sana, you have to perfect the art. Kuna kweli ambazo mwanadamu akizifahamu humuwezesha mtu kauchilia kirahisi.
1. Wanadamu ni wabinafsi sana, unaweza kuwapenda lakini wakakugeuka. (Human Beings are inherently selfish and absorbed)
2. Siyo kila mtu ameumbwa kwa ajili ya kukupenda wewe au ana wajibu wa kukupenda wewe kisa tu wewe umempenda. Hivyo usipopendwa usichukie kabisa, maisha ndivyo yalivyo.
3. Mapenzi (Erotic Love) ni sehemu ndogo sana katika maisha ya binadamu japo ina umuhimu wake. Ukiokosa leo huwezi kufa, utaishi tu.
4. Duniani hapa huwezi kabisa kukosa mtu wa kukupenda wewe. Wanazaliwa kila siku na wanakufa kila siku: Unahitaji kutuliza kichwa na moyo wako.....
Wewe ni pumbavu.Ni kweli katika mapenzi muda mwingine unajikuta mtu wa stress na mawazo na kumuacha inakua ngumu nisaidien nifanye nin....hiyo msichana kila Mara yupo bize na kuchat na mtu mwingine na sometimes ananitoroka sijui nifanyaje...nimeishi nae miaka mitatu ya upenz