amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
wewe mtu umenifanya nicheke hapa barabarani naonekana chiziNa ukiniacha nikikubaliana na hali halisi ujue ndo hatuongei tena. Sasa jichanganye unisalimie...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe mtu umenifanya nicheke hapa barabarani naonekana chiziNa ukiniacha nikikubaliana na hali halisi ujue ndo hatuongei tena. Sasa jichanganye unisalimie...
Wewe huachi akaendamliotajwa hapa like nikuone
unaachaje mtu aende kizembe??? binadamu tumeumbwa tofauti sana
Team Ruba
Sikuachi uende ng'oo ila mzingue ngoja aende tuuh..Kweli kabisa mkuu mwache aende Mungu kaumba kusahau kuna maisha mengine lazima yaendelee
Natamani nikuone unacheka..!wewe mtu umenifanya nicheke hapa barabarani naonekana chizi
siwezi hata kujaribu told ya yesterdayWewe huachi akaenda
So had leo ex hujamuacha akaenda??siwezi hata kujaribu told ya yesterday
hahaha haya maswali mengine ni chonganishi ok yeye ndiye aliyeniacha akaendaSo had leo ex hujamuacha akaenda??
Jichanganye leo kule hatujamalizahahaha haya maswali mengine ni chonganishi ok yeye ndiye aliyeniacha akaenda
Kama alikuacha uende nawe mwache aendehahaha haya maswali mengine ni chonganishi ok yeye ndiye aliyeniacha akaenda
najua unajua nipo katika maisha yangu,Kama alikuacha uende nawe mwache aende
Thamani yako ataiona msamehe tu ishi maisha yako
Habari za ex wako tuishie hapa, kila mtu ni ex wa mtu, na huwez kua unaendelea kusoma kurasa mpya kila siku ukiwa bado unarudi kusoma za zamani hata nusu kitabu hautafika
Say no more!najua unajua nipo katika maisha yangu,
Cc.Aione gracemwakilata
NENDA MWANA KWENDA
KASIE IS NO.1, NO.2 and NO. 3.......
NEEENDAAAAAAA NA USIRUDI NG'OOOOOO
Kasie.