Jifunze kutokuamini watu ili uepuke kuumizwa

Mada nzuri sana na imenigusa moja kwa moja. Sitawahi tena muamini mtu yoyote.
 
2019 nilimpa rafiki mkopo wa millioni 400 , mwamba alikuwa na hardware kubwa hapa dar , by then tumejuana since chuo , ilipofika miezi mitano baadaye muda wa malipo , aliingia mitini naskia siku hizi anabangaiza njombe na iringa, iliniuma sana kwa kuwa almost inipeleke bankruptcy then ,namshukuru mungu niliponea mufilis
 
Biblia inasema Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu Yer:17:5,tatizo letu wanadamu hasa watz tunajiona wajanja hatutaki kufuata miongozo ya dini,Sheria za nchi.Naiomba srikali ishikilie hapo hapo kwenye tozo hadi tunyooke
 
Pole Sana chief. You know many Stupid Black people ukikaa nao kweny story zao Ni eti Hakun tajiri alie fanikiwa bila dhuruma, wizi, utapeli, rushwa and the like

So wako wanafanyia hayo watu eti nao watengenez njia wafanikiwe. You can't imagine hio mindset ipo na ina pass kikazi na kizazi.
 
Itakuwa ulimloga,haiwezekani anabangaiza with 400mil,hebu elezea vizuri,najua utajitetea ni karma
 
Nimeamini mtu juzijuzi tu hapa kanichapa 300k. Jamaa rafiki yangu sana tumesoma wote ameishi kwangu kipindi ameyumba kidogo, lakin 300k imemshinda imani
Pole sana, na kibaya zaidi ukimdai inaonekana wewe ndiyo mbaya zaidi huna utu huna huruma yeye alilokufanyia haoni kama ni kosa.

Pole sana, ukata huu 300k si haba
 
yule alikuwa rafiki wa chanda na pete mpaka leo huwa najiuliza hyo hela tu ndiyo ilifanya ageuke, so sad
 
Mada nzuri sana na imenigusa moja kwa moja. Sitawahi tena muamini mtu yoyote.
Huo ndiyo uhalisia kaka, mtu asiyemuani ni ngumu kukuibia au kukuumiza maana hutampa nafasi kwa kitu au jambo lolote la dhamani, lakini mtu unayemuamini ni rahisi zaidi kukuumiza na kukufelisha kwa kuwa unamuamini.
 
Mtu wako wa karibu sana ndiyo mwenye nafasi kubwa ya kukufilisi, kukuibia na kukuingiza katika matatizo kwa kuwa unamuamini na kumpa nafasi.

Visa vingi vya kuumizwa vinaanzia kwa watu tuliowaamini zaidi.

Tunapaswa kuaminiana ila punguza kuamini watu kwa vitu vikubwa kupita kiasi ambapo ikitokea kinyume na makubaliano bado utaweza kuhimili stress na changamoto hiyo
 
Itakuwa ulimloga,haiwezekani anabangaiza with 400mil,hebu elezea vizuri,najua utajitetea ni karma
wala sikumroga , wagamga nawajua matata ila yule mpaka watoto wake walikuwa God children wangu , harusi yake ya m,andugu zake zote nilikuwepo mpaka kwao walikuwa wananijua , mpaka watoto wetu walicheza pamoja sana tu .
sema sikutaka kumfatilia , nyumba zake ,magari mpaka biashara ilipigwa mnada na creditors , alifilisika kulingana na nijuavyo , sema then angenijia anipe ukweli tungecheki namna , mbona wakuu pale CRDB najuana nao wengine mpaka kesi nimewawakilisha , ila yy alitorokea kunakoni , binaadam bana acha tu
 
Hiyo mindset ya kijinga kabisa, huwezi kuendelea kwa kudhuruma hata siku moja
 
usemalo ni kweli , siku hizi imani ilikufa kabisa , hata watoto wangu huwa nawaangalia kwa mbali kwa ishu za pesa
 
Umesema mia 4 ....aisee unapatikana wapi mkuu
 
watu mnakopeshana mamilion kizembe tuu...mimi 120k tu ilizama nikajifunza jambo ukiweza kumpa mtu hela mpe kiasi unachoweza kusamehe
 
Umesema mia 4 ....aisee unapatikana wapi mkuu
πŸ˜‚πŸ˜‚ tanzania ye2 tu hii , ila yule ni vile tulikuwa kama mandugu , tumebebana since chuo ,alifanikiwa mbele yangu kimaisha kwa muda nilikaa kwake , tukajuana muda , sema alivoniosha mpaka leo siamini
 
Hizi mambo za kukopesha ukipiga hesabu unajikuta umelaza pesa nyingi nje

Mwezi wa kwanza kuna kademu nilikakopesha 200k dalili ya kulipwa siioni saivi nafikiria nikatombe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…