Jifunze kutokuamini watu ili uepuke kuumizwa

Jifunze kutokuamini watu ili uepuke kuumizwa

Nimepoteza pesa na marafiki, sahivi simuamini mtu hata Kwa elfu 5..

Bora nikupe, nikiwa nipo teyari kupoteza
 
8 & 10 nimejikuta na chekaa
Ila ukweli kumwamini mtu hasa kwenye maswala ya pesa kama ni urafiki ujue urafiki ndiyo dhamana
 
mimi baba yangu ni mchagga na amiliki vitega uchumi lakini hamwamini mtoto hata mmoja kwenye shughuli zake anafanyaga mwenyewe na vijana wake. hilo lipo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ila wachaga kwenye pesa mko vizuri

Wazee Wengi sijui kwanini hawaamini vijana wao wanawaona bado ni watoto tu

Dah ila mbeleni huko nahisi Mzee wako atakujumuisha
 
Huyo rafiki ako alikufaje kufaje , tueleze kidogo
 
Mm sikopeshi mtu awe ndugu au mtu baki.
Nina wadai watu wengi na hakuna dalili za kulipa.
Mtu nikimuonea huruma sana kumkosesha aje na mkewe amwache kwangu nimtumie hadi atakapo rudisha pesa yangu.
Sitaki ukhanithi mimi kwenye pesa.
Ha ha ha masharti yako ni magumu mkuu pole sana
 
Inauma sana kwenye biashara mwanzo kuna kua na uamunifu mwisho siku mtu anakutapeli.
mara nyingi inakuwa hivo, awali mtu anakuwa mkweli kadiri pesa zinavyozidi kwake kwa wewe kumuamini ndivyo anavyoingiwa na tamaa zaidi
 
mtu akikuomba umkopeshe kiasi chochote cha pesa we mpe 1/4 kwa kumsaidia tu mwambie hali c nzuri pokea hii ila siyo kumkopesha epuka lawama na kuumizwa nafsi kwa kila hali
Watu wengi tunaowakopesha walio wengi wametuumiza pia
 
Mwaka 2016 nilimuamini rafiki yangu nikasajili line yangu kwakutumia kitambulisho chake ,niliweka 250,000 kwenye tigo pesa huku na yeye akijuwa hilo.

Kilichofuata jamaa aka lock line ya simu akaenda li new mpya akatoa pesa yote halafu akaitupa ile line nilivyo fatilia tigo headquarter wakaniambia kuwa mimi mwenyewe nilipiga simu ku block line yangu.


Aaaaaaa binadamu [emoji114]
Ndiyomana nimesisitiza tupunguze kuamini watu, kuamini sana watu ni chanzo cha kuumizwa.

Pole sana
 
8 & 10 nimejikuta na chekaa
Ila ukweli kumwamini mtu hasa kwenye maswala ya pesa kama ni urafiki ujue urafiki ndiyo dhamana
Na hata akizingua huna cha kufanya coz ni rafiki yako unaishia kuumia
 
Dah ila wachaga kwenye pesa mko vizuri

Wazee Wengi sijui kwanini hawaamini vijana wao wanawaona bado ni watoto tu

Dah ila mbeleni huko nahisi Mzee wako atakujumuisha
Labda na wao walizipiga kwa baba zao so wanajuwa wakiweka watoto wao basi watapigwa pia
 
Back
Top Bottom