Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
MotoGP ni burudani sana.
Mimi ni shabiki mkubwa wa Marc Marques,jamaa ana kipaji kikubwa sana
Mimi ni shabiki mkubwa wa Marc Marques,jamaa ana kipaji kikubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wapenzi wa Motor Cross na Freestyle, Dar mazoezi yanafanyika nyuma pale Tanganyika Packers kila jumapili mchana. Race track special ipo Misugusugu huwa wanaandaa Motorcross events.Unaitwa Motocross ule mkali. Nao upo chini ya FIM hawa hawa wanaoisimamia MotoGP.
View attachment 3117927
Mashindano yake makubwa yanaitwa FIM Motocross World Championship.
View attachment 3117932
Ila pia kuna types zake nyingine kama ATV motocross.
View attachment 3117929
Kuna Freestyle Motocross ambapo mnashindana kuonesha mbwembwe nk. View attachment 3117931
Kuwalinganisha na hawa wa boxer ni matusiHahah wale jamaa wana majeraha mwili mzima kama bodaboda wetu tu.
Sema ile suti wanayovaa aisee iko advanced sana kwenye protection. Gharama yake zaidi ya $5,000 za zingine zina hadi airbags.
Lasttime mtu amekufa kwenye ajali MotoGP sijui ni 2011 ile.
Vilima vya kawe sio vikubwa na jamaa hawanaga mbwembwe sana .Kwa wapenzi wa Motor Cross na Freestyle, Dar mazoezi yanafanyika nyuma pale Tanganyika Packers kila jumapili mchana. Race track special ipo Misugusugu huwa wanaandaa Motorcross events.
Cha kushangaza ni kwamba jamaa wanapiga chini na 200km/hr alafu wanafuta vumbi na kuinuka kama wamejikwaa tuuTatizo la maafisa usafirishaji hawavai tu vizuri. Ukivaa full gears unakua salama.
Wale wanaocheza Pro wanafanya kila mbwembwe mkuu, ukipata muda kamtizame akiwa anacheza Masoud, Juma, Babu Eddy. Beginners na Intermediate wapo wengi hao ndio wanacheza bila mbwembweVilima vya kawe sio vikubwa na jamaa hawanaga mbwembwe sana .
Boxer hapa na 60/hr ana kula mweleka ndio basi tena kila kitu kina badilikaHahhaa ukiwa unaangalia utajua wana speed ya kawaida ila no, zile mashine kama nyuki
Hhha sasa wewe tunaelewana.MotoGP ni burudani sana.
Mimi ni shabiki mkubwa wa Marc Marques,jamaa ana kipaji kikubwa sana
Boxer hapa na 60/hr ana kula mweleka ndio basi tena kila kitu kina badilika
Huyu dogo ana kipaji kikubwa sana ila kuna muda ana utoto sana. Miaka ya nyuma alikuwa lazima awachomekee wenzake kwenye kona au akikaribia kumaliza lap anafanya mbwembweView attachment 3118089
Mfano hii 2022 nakumbuka Maquez ndugu yake Offshore Seamen oya alipaishwa ova bata ila alisimama sema
hakuendeea na race ila anatembea fresh kabisa.
Huyu hata kwenye moto Cross huwa anafanya mazoezi na bike za Honda CRF450Hhha sasa wewe tunaelewana.
Dogo jana kwenye Japanese MotoGP alikua nafasi ya tatu, hafu msimu mzima yupo nafasi ya 4. Yuko yente sana dogo.
Hahahahaaa sahivi kakua hafu kakuta a na ushundani mkali sana wa FrancescoHuyu dogo ana kipaji kikubwa sana ila kuna muda ana utoto sana. Miaka ya nyuma alikuwa lazima awachomekee wenzake kwenye kona au akikaribia kumaliza lap anafanya mbwembwe
Utoto hawezi kuacha, siku mfatilie mwanzo mpaka mwisho kuna muda anaonyesha show off hata pasipotakiwa. Alipokuwa na Honda Repsol alikuwa na balaa sana.Hahahahaaa sahivi kakua hafu kakuta a na ushundani mkali sana wa Francesco