Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
- Thread starter
- #41
Asas jamaa anajituma sana kwenye motorsport.Tanzania kuna vijana wanavipaji vya Motorcross, wamekosa udhamini wanaishia kutengeneza video za wasanii na matangazo. Mchezo huu Tanzania hauna sapoti kubwa View attachment 3118116View attachment 3118116