Hao wa kunyanyua tairi (wheelie boy) wao wanaita dede, wanakuwa convoy ya bike mbalimbali kuna wanaotumia bike sports na wengine bike za kawaida wamezifanyia mods.
Kila Jumapili walikuwa na ratiba ya kupita Tabata,Magomeni,kinondoni,msasani soko la samaki, wanaenda Kawe Tanganyika packers mpaka Mbezi kwa Zena