Jifunze kwa Ufupi Mashindano ya Pikipiki: MotoGP World Championship

Mjini pale watu Wana vibweka na fujo sana. Siku hiyo Afisa usalama barabarani naye akiwashangaa tu.

Kuna muhuni yeye usiku wa manane utasikia anaendesha gari imezibuliwa exhaust, chuma lina sauti mzito na sijui huwa anaendaga wapi yule jamaa, maana kila main road lazima apite.
 
We jamaa tutakua tunakaa mtaa mmoja au uyo mwamba anapita Dar nzima.

Yaani anasubilia mji umepoaaa yeye ndio anakiwasha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…