LOL!!! hahahahahaha ukiota mihogo ya kukaanga usijimwagie tu mafuta ya moto mguuni wakati unaikaanga maana unaweza kutoa ukelele wa kutisha kumbe ni ndoto tu.
Hahahahaha naota kula sio kupika lol....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LOL!!! hahahahahaha ukiota mihogo ya kukaanga usijimwagie tu mafuta ya moto mguuni wakati unaikaanga maana unaweza kutoa ukelele wa kutisha kumbe ni ndoto tu.
hahahahahahahahahahah ntarudisha habari nkiipatia mudaKila la heri, halafu mbona hukurudisha feedback kuhusu ile mihogo ya kukaanga!? Au bado hujaipatia muda?
Awezakuwa ana mdogowe. We peleka posa tu mkuu
Thubutuuuu....
Chila ndio nini tena na yaandaliwajeHahahahaha nami chila napenda sana kwa samaki kwa kukaanga hunitoi lol...
Chila ndio nini tena na yaandaliwaje
Binti khaloo umetufikisha mbali WaSwahili tumefika mbali kwa mapishi yako" nasie tumo katika Maakulati ya kisasa "Bravo Farkhy... Mamillioni ya Ahsante na Mamillioni ya hongera.
Umenikumbusha mbali jamani,,mie nlianza kuutengeneza nkiwa sekondari uwiii...".... How I wish I has a daughter nimpasie ujuzi.
Mahitaji
Mchele kikombe 1
Hiliki kiasi
Sukari 1/2-3/4
Yai 1
Tui la nazi vikombe 2
Hamira kijiko cha chai kimoja
Namna ya kutaarisha
1)Osha mchele na roweka hadi uwe laini kiasi.
2)weka mchele,hiliki,yai,hamira na tui la nazi kwenye blenda....saga hadi viwe laini
3)mimina kwenye bakuli...subiria uumuke
Namna ya kupika
1)weka chuma cha kuchomea(usitie mafuta) katika jiko moto kiasi... kikipata moto chota upawa mmoja wa mchanganyiko wako na mimina kwenye chuma chako...zungusha ili utandazike
2)funika na ufunikio juu..ukiona mkate wafanya vitundu tundu toa na weka pembeni.
3)fanya hivo hadi umalizie zilobaki
Mkate wa chila tayari kwa kuliwa
Acha kututamanisha nikikwambia ninakuja hutaki kunifungulia mlango wa nyumba yako unasema kuna mbwa mkali farkhina
Acha kututamanisha nikikwambia ninakuja hutaki kunifungulia mlango wa nyumba yako unasema kuna mbwa mkali farkhina
unanichanganya uko kama mkate wa kumimina hapohapo ni flat kama pancake nitajaribu nione so hutii mafuta kabisa
Tislem Uyuoonish Bint khaloo kwa uvumbuzi wako..." Cooking "Ahsante na wewe ayun....
Mahitaji
Mchele kikombe 1
Hiliki kiasi
Sukari 1/2-3/4
Yai 1
Tui la nazi vikombe 2
Hamira kijiko cha chai kimoja
Namna ya kutaarisha
1)Osha mchele na roweka hadi uwe laini kiasi.
2)weka mchele,hiliki,yai,hamira na tui la nazi kwenye blenda....saga hadi viwe laini
3)mimina kwenye bakuli...subiria uumuke
Namna ya kupika
1)weka chuma cha kuchomea(usitie mafuta) katika jiko moto kiasi... kikipata moto chota upawa mmoja wa mchanganyiko wako na mimina kwenye chuma chako...zungusha ili utandazike
2)funika na ufunikio juu..ukiona mkate wafanya vitundu tundu toa na weka pembeni.
3)fanya hivo hadi umalizie zilobaki
Mkate wa chila tayari kwa kuliwa
unanichanganya uko kama mkate wa kumimina hapohapo ni flat kama pancake nitajaribu nione so hutii mafuta kabisa