Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,501
Asante sana . Sasa ukiwa unapika huugeuzi naomba unisaidie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana . Sasa ukiwa unapika huugeuzi naomba unisaidie hapo
Asante sana . Sasa ukiwa unapika huugeuzi naomba unisaidie hapo
Nimekupata asante sana.Hugeuzi....juu unawiva vizuri tu sababu unaufunika..
Mwaka huu......
washindwe wao tu kula....
Asante
Hii mikate umekaa kama vibibi
Mahitaji
1)Tambi 500g
2) maji 3-4cups
3)sukari 1 cup
4)1/4 hiliki iliyotwangwa
5)tui la nazi 1 cup
6)samli 1 tablespoon.
7)Arki ya rose au flavor yoyote unayopendelea
Namna ya kutaarisha
1)changanya maji,sukari,hiliki na tui la nazi kwenye sufuria
2)weka kwenye moto mdogo mdogo hadi vichemke
3)vunja vunja tambi na uweke
4)pika hadi tui la nazi likauke
5)pakaza samli juu yake
6)washa oven 300°-350° then oka mkae wako....hakikisha unawiva vizuri...
7)mkate wa tambi tayari kwa kuliwa...
Yaaani
Hivi ulikuwaga wapi siku zote
Huku kitchen ni bandika bandua
Really unatupendelea, chai yenye mvuto inahusika sana. Hongera sana
Yule samaki wakukaanga yuwapi ehhh?
Hata mimi naiita vibibi.
ni vitamu kweli japo mie siweki yai
Nimekupata asante sana.
Chila kavu siziwezi lazima nipate kitoweo...Ni tonge,kwa nyama..namna hio!!!Hahahahaah karudi baharini😉😉😉😉
Ni vibibi tofauti yate havijamwagiwa lile tui zito la nazi!!!Hii mikate umekaa kama vibibi
Chila kavi siziwezi lazima nipate kitoweo...Ni tonge,kwa nyama..namna hio!!!
Mashallah kweli nimepata shost..mpaka raha meno 32 nje :becky: apa nakaangiwa samaki spesho for meeee...wacha nijivunge mieee!!!Haya subiri niingie jikoni nkakupikie....ndio kubembeleza kwenyewe mwanangu asije kukataliwa buree...