Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Wallahi mwaka huu utatuua na mapishi yako bibie!! Nimeshaongezeka 2 pounds tangu uanze kutuletea hizi recipes. Itabidi nianze kufanya "Insanity Workouts"

Hahahahahaha mwanisingizia jamani...sasa hapo mwanzo nlikua mnakula maji? Lol
 
Hahahahahaha mwanisingizia jamani...sasa hapo mwanzo nlikua mnakula maji? Lol

Jana nlikua nataka kuweka recipe ya doughnuts nkahairi maana zinanenepesha sana ila mara moja moja kula sio mbaya...
 
Mie muoga sana wa kuungua. Mamangu alikuwaga anasema mtoto wa kike haungui.
Halooo!

Ahahahahahaha kuna cousin yangu akikaanga samaki utachekaa mpaka...anavogopa mpaka ndio anasababisha hatari mara anamrusha samaki kwenye kikaangio..
 
Lmao. Kuna clip nnayo kwa simu mkaka amerushia samaki kikaangoni afu akakimbia kujificha kwa kufungua mlango wa friji. Friji yenyewe kama ya mkwe wangu Husninyo, acha makorokoro yamporomokee. Hahaha.
Ni woga tu, wengine hata maandazi wanaruka.
Ahahahahahaha kuna cousin yangu akikaanga samaki utachekaa mpaka...anavogopa mpaka ndio anasababisha hatari mara anamrusha samaki kwenye kikaangio..
 
Last edited by a moderator:
Lmao. Kuna clip nnayo kwa simu mkaka amerushia samaki kikaangoni afu akakimbia kujificha kwa kufungua mlango wa friji. Friji yenyewe kama ya mkwe wangu Husninyo, acha makorokoro yamporomokee. Hahaha.
Ni woga tu, wengine hata maandazi wanaruka.

Hahahahaha mpaka maandazi basi mtihani....
 
Last edited by a moderator:
Ugali mtu anaruka, nini mandazi? Mshukuru mzazi wako kukupa malezi mema shosti

Haahhahaha namshukuru sana kwa kweli....ila kipindi kile akiniambia kuna nazi,sijui deki,fagia,osha vyombo nlikua naona ananionea kweli....kumbe ndio naona faida yake sasa...
 
LOL!!! hahahahahaha ukiota mihogo ya kukaanga usijimwagie tu mafuta ya moto mguuni wakati unaikaanga maana unaweza kutoa ukelele wa kutisha kumbe ni ndoto tu.

Mie naisubiri hiyo mihogo na chumvi na pilipili....mate yamenijaa sijui kama sitoota lol...
 
Lmao. Kuna clip nnayo kwa simu mkaka amerushia samaki kikaangoni afu akakimbia kujificha kwa kufungua mlango wa friji. Friji yenyewe kama ya mkwe wangu Husninyo, acha makorokoro yamporomokee. Hahaha.
Ni woga tu, wengine hata maandazi wanaruka.
hahahahaa, hakuna mapishi siyapendi kama kukaanga samaki. lol, namshukuru mwanao huwa anakaanga then mie nawaunga. teheee!
 
Hahahaha unanitesea mwanangu jamani. Yaani yeye ndo akaange samaki kabisaaaaa!
Ila samaki wakikaangwa naskia kama jikoni kunanuka samaki wiki nzima. Bora kuweka kwenye oven ama kuchoma before kuunga.

Hivi mkwe samahani, unajua kupika kweli? Manake nikiangalia kope na kucha za kubandika, nachoka na kumhurumia mwanangu lol
hahahahaa, hakuna mapishi siyapendi kama kukaanga samaki. lol, namshukuru mwanao huwa anakaanga then mie nawaunga. teheee!
 
Asante ayun.

Ila izo tambi ni tambi tu? Naona mkate umekaza kama wa mchele.

Huu mkate wacha kuula tu, hata kuuskia wallah sijawahi. Mi najua vileja vya tambi tu
 
Asante ayun.

Ila izo tambi ni tambi tu? Naona mkate umekaza kama wa mchele.

Huu mkate wacha kuula tu, hata kuuskia wallah sijawahi. Mi najua vileja vya tambi tu

Hahahahahaha shoga angu basi ndio huo...
 
Hahahaha unanitesea mwanangu jamani. Yaani yeye ndo akaange samaki kabisaaaaa!
Ila samaki wakikaangwa naskia kama jikoni kunanuka samaki wiki nzima. Bora kuweka kwenye oven ama kuchoma before kuunga.

Hivi mkwe samahani, unajua kupika kweli? Manake nikiangalia kope na kucha za kubandika, nachoka na kumhurumia mwanangu lol

Ukitaka harufu itoke ukiaanga samaki fungua milango na madirisha hewa itoke na kuingia ukimaliza kukaanga choma ubani au udi harufu kwisha.....
 
Back
Top Bottom