Wallahi mwaka huu utatuua na mapishi yako bibie!! Nimeshaongezeka 2 pounds tangu uanze kutuletea hizi recipes. Itabidi nianze kufanya "Insanity Workouts"
Hahahahahaha mwanisingizia jamani...sasa hapo mwanzo nlikua mnakula maji? Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wallahi mwaka huu utatuua na mapishi yako bibie!! Nimeshaongezeka 2 pounds tangu uanze kutuletea hizi recipes. Itabidi nianze kufanya "Insanity Workouts"
Hahahahahaha mwanisingizia jamani...sasa hapo mwanzo nlikua mnakula maji? Lol
Hahahaha mwenzenu mbona mtaniua kwa moto kila mtu anataka kupikiwa lol...
Mie muoga sana wa kuungua. Mamangu alikuwaga anasema mtoto wa kike haungui.
Halooo!
Ahahahahahaha kuna cousin yangu akikaanga samaki utachekaa mpaka...anavogopa mpaka ndio anasababisha hatari mara anamrusha samaki kwenye kikaangio..
Lmao. Kuna clip nnayo kwa simu mkaka amerushia samaki kikaangoni afu akakimbia kujificha kwa kufungua mlango wa friji. Friji yenyewe kama ya mkwe wangu Husninyo, acha makorokoro yamporomokee. Hahaha.
Ni woga tu, wengine hata maandazi wanaruka.
Hahahahaha mpaka maandazi basi mtihani....
Ugali mtu anaruka, nini mandazi? Mshukuru mzazi wako kukupa malezi mema shosti
Kwa wale ambao hawafahamu arki ni ni nini ni hii hapa...
Hii ya kwangu ni ya vanilla,kuna aina nyingi za fleva nyengine nyengine..
Mie naisubiri hiyo mihogo na chumvi na pilipili....mate yamenijaa sijui kama sitoota lol...
hahahahaa, hakuna mapishi siyapendi kama kukaanga samaki. lol, namshukuru mwanao huwa anakaanga then mie nawaunga. teheee!Lmao. Kuna clip nnayo kwa simu mkaka amerushia samaki kikaangoni afu akakimbia kujificha kwa kufungua mlango wa friji. Friji yenyewe kama ya mkwe wangu Husninyo, acha makorokoro yamporomokee. Hahaha.
Ni woga tu, wengine hata maandazi wanaruka.
hahahahaa, hakuna mapishi siyapendi kama kukaanga samaki. lol, namshukuru mwanao huwa anakaanga then mie nawaunga. teheee!
Asante ayun.
Ila izo tambi ni tambi tu? Naona mkate umekaza kama wa mchele.
Huu mkate wacha kuula tu, hata kuuskia wallah sijawahi. Mi najua vileja vya tambi tu
Huu mkate nitaupika weekend!!Ahsante mamii:smile-big:
Na hiyo arki ndio nini tena?
Hahahaha unanitesea mwanangu jamani. Yaani yeye ndo akaange samaki kabisaaaaa!
Ila samaki wakikaangwa naskia kama jikoni kunanuka samaki wiki nzima. Bora kuweka kwenye oven ama kuchoma before kuunga.
Hivi mkwe samahani, unajua kupika kweli? Manake nikiangalia kope na kucha za kubandika, nachoka na kumhurumia mwanangu lol