Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

farkhina ntakuja Toronto

Uniandalie ee
 
Last edited by a moderator:
Yaaani


Hivi ulikuwaga wapi siku zote

Huku kitchen ni bandika bandua
 

Really unatupendelea, chai yenye mvuto inahusika sana. Hongera sana
 
Haya subiri niingie jikoni nkakupikie....ndio kubembeleza kwenyewe mwanangu asije kukataliwa buree...
Mashallah kweli nimepata shost..mpaka raha meno 32 nje :becky: apa nakaangiwa samaki spesho for meeee...wacha nijivunge mieee!!!
 
hi! nina swali moja if yo dnt mind.! badala ya maji naweza weka maziwa ?xoz napendeleaga sana mkate hukiwa na maziwa.asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…