Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Dadaa samahani naomba kuuliza kama hauna hiyo ARKI je waweza tumia nini kingine au je bila iyo mkate hupoteza radha au hutoka vibaya? nataka niujaribu ila hiyo kitu ni ngumu kupatikna

Vanilla powder tumia.....ila ukikosa haina tatizo weka tu hiliki mkate utakua na ladha nzuri tu...
 
Natamani kupika ila mayai huwa sili kabisa je, naweza kupika bila kuweka yai?
 
Natamani kupika ila mayai huwa sili kabisa je, naweza kupika bila kuweka yai?

Unaweza usiweke yai.

Hayo mambo ya mayai ya sikuizi tu Shoga.

Lkn ukikoleza tui lako la nazi, chila pia hua rasmi
 
Hahahaha ukimaliza lete tule....lol

Chila tayari.

Kisimu hakitaki ku upload picha, angalau tukala kwa picha.

Next week nataka nijaribu mkate wa ufuta kwa cooker mana mm sina seredani.

Jee lazima iwe plate ya coil au hata ya kawaida tu?
 
Chila tayari.

Kisimu hakitaki ku upload picha, angalau tukala kwa picha.

Next week nataka nijaribu mkate wa ufuta kwa cooker mana mm sina seredani.

Jee lazima iwe plate ya coil au hata ya kawaida tu?

Plate yeyote tu ilimradi inaleta moto..mie yangu coil..ila ukiugeuza itabidi kuzidisha moto ili mkate usije kuanguka...
 

Farkhina....u r blessed dada! endelea kutulisha:smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…