Dadaa samahani naomba kuuliza kama hauna hiyo ARKI je waweza tumia nini kingine au je bila iyo mkate hupoteza radha au hutoka vibaya? nataka niujaribu ila hiyo kitu ni ngumu kupatikna
Shukraan habibty.
Chila zinaonekana rasmi, MashAllah
Hahahahahaha mambo yako hayooo...
Kweli. Nsharoeka mchele jana, leo in sha Allah nazipika. Jioni.
Karibuni
Natamani kupika ila mayai huwa sili kabisa je, naweza kupika bila kuweka yai?
Shosti chila bado? Lol
He he heeeeh, saivi ndo nataka kuchoma.
Lol
Hahahaha ukimaliza lete tule....lol
Chila tayari.
Kisimu hakitaki ku upload picha, angalau tukala kwa picha.
Next week nataka nijaribu mkate wa ufuta kwa cooker mana mm sina seredani.
Jee lazima iwe plate ya coil au hata ya kawaida tu?
Plate yeyote tu ilimradi inaleta moto..mie yangu coil..ila ukiugeuza itabidi kuzidisha moto ili mkate usije kuanguka...
Ok, ntajaribu in sha Allah. Japo kdg
Mahitaji
Mchele kikombe 1
Hiliki kiasi
Sukari 1/2-3/4
Yai 1
Tui la nazi vikombe 2
Hamira kijiko cha chai kimoja
Namna ya kutaarisha
1)Osha mchele na roweka hadi uwe laini kiasi.
2)weka mchele,hiliki,yai,hamira na tui la nazi kwenye blenda....saga hadi viwe laini
3)mimina kwenye bakuli...subiria uumuke
Namna ya kupika
1)weka chuma cha kuchomea(usitie mafuta) katika jiko moto kiasi... kikipata moto chota upawa mmoja wa mchanganyiko wako na mimina kwenye chuma chako...zungusha ili utandazike
2)funika na ufunikio juu..ukiona mkate wafanya vitundu tundu toa na weka pembeni.
3)fanya hivo hadi umalizie zilobaki
Mkate wa chila tayari kwa kuliwa
Farkhina....u r blessed dada! endelea kutulisha:smile-big:
pika wewe tuuoneHii mikate umekaa kama vibibi
jamani nifundishe na mimi bacHugeuzi....juu unawiva vizuri tu sababu unaufunika..