Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
ngoja nijaribu kuupika maana hata kuula sijawah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii kitu unaipika lini ili nije unionjeshe kabla cjaanza kuipika?
Cooker? Alaa.
Na inakua kabisa?
I swear ungekuwa hujaolewa ningeleta posa kwenu asap
mapishi yoote unayoweka humu unanigusa pale pale
mkate huu ndo ugonjwa wangu..
yaani chai ya mchaichai na mkate wa kumimina na katlesi asubuhi dah...
acha kabisa
ngoja nijaribu kuupika maana hata kuula sijawah
Toobah! Kuna mkate wa tambi? Manake hii kazi ya kupika nihakikishe paw haibwi imeshanichosha. Haya darasa jipya farkhina.
@fized point, mchanganyiko unatia maji mengi. Na kwenye kikaango haujaweka mafuta ya kutosha. Tia kijiko kizima cha kulia chakula kikaangoni na moto uwe mkali kiasi.
halafu anaupenda anauita ricebread kwa kilugha 🙂
Tenaaaa like mamma like daughter!Mkwe wangu bwana ana manjonjo....nkikumbuka anavoimba nacheka peke yangu...lol
Toobah! Kuna mkate wa tambi? Manake hii kazi ya kupika nihakikishe paw haibwi imeshanichosha. Haya darasa jipya farkhina.
@fized point, mchanganyiko unatia maji mengi. Na kwenye kikaango haujaweka mafuta ya kutosha. Tia kijiko kizima cha kulia chakula kikaangoni na moto uwe mkali kiasi.
Hahahahaha hebu pika uko..m
I swear ungekuwa hujaolewa ningeleta posa kwenu asap
mapishi yoote unayoweka humu unanigusa pale pale
mkate huu ndo ugonjwa wangu..
yaani chai ya mchaichai na mkate wa kumimina na katlesi asubuhi dah...
acha kabisa
Mahitaji
Mchele kikombe 1
Tui la nazi kikombe 3/4- 1
Hamira 1 teaspoon
Hiliki kiasi
Ute wa yai 1
Sukari 3/4 kikombe
Namna ya kutaarisha
1)Roweka mchele usiku 1
2)Saga kwenye blenda mchele,hamira,tui la nazi,hiliki hadi viwe laini..
3)weka sehemu ya joto ili uimuke..
4)washa oven moto kiasi 300-350°..mimina sukari na ute wa yai kwenye mchanganyiko wako then changanya vizuri...
5)weka sufuria jikoni mafuta kidogo yakipata moto mimina mchanganyiko wako
6)baada ya dakika 5-10 mkate ukishaanza kushikana funika kwa ufuniko then weka kwenye oven hadi uwive na kuwa rangi ya brown
7)subiria mkate upoe ndipo uukate vipande vipande
8)mkate wa kuminina tayari kwa kuliwa..
Wengine tumejizoelea viazi vitamu vya kuchemsha na karanga!
Wow!! YaaaRabiii... Wee Binti wajua nimezidi uzito kilo 3 since mwanzo wa November!!...nkate ya huu siye tawita "vibibi" kula kwake yatakiwa berrys jam na kisukumio kahawa ya Turkish coffee!! Mashkurr binti Nnass kwa rcpe. muruwa !!!Hii ni aina ya kwanza ya mkate wa kumimina au mkate wa mchele au mkate wa sinia... Ablessed BAK Fixed Point amu mimi49 Chocs Angel Nylon Afro-Arabica Ennie Swts SHERRIF ARPAIO Heaven on Earth King'asti. Jerrymsigwa.
viazi vitamu au mihogo ya kuchemsha na chai ya mchaichai dah..
up wewe?mzima?
Mi mzima kaka,uko poa nawe?
Nikiweka recipe ya mlenda wa karanga nitakuita
Usijali,endelea kusubirinakusubiri
hata mchicha nyama
au dagaa nyama weka nasubiri
Inakua vizuri tu kazi yangu kupunguza na kuzidisha tu moto tu....
Shoga angu hilo seredani nalitoa wapi huku?