Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

I swear ungekuwa hujaolewa ningeleta posa kwenu asap

mapishi yoote unayoweka humu unanigusa pale pale
mkate huu ndo ugonjwa wangu..

yaani chai ya mchaichai na mkate wa kumimina na katlesi asubuhi dah...

acha kabisa
 
I swear ungekuwa hujaolewa ningeleta posa kwenu asap

mapishi yoote unayoweka humu unanigusa pale pale
mkate huu ndo ugonjwa wangu..

yaani chai ya mchaichai na mkate wa kumimina na katlesi asubuhi dah...

acha kabisa

Hahahahahaha The Boss...na chai ya tangawizi jeeee?
 
Last edited by a moderator:

Shoga angu upo mkate wa tambi nitaweka recipe yake soon inshallah..
 
Last edited by a moderator:

Upo best mkate wa tambi,kwa mara ya kwanza niliula Marangu aliupika dada mmoja kutoka Unguja sema alikuwa hapendi kutoa ujuzi kwa wengine,nilidesa hivyo hivyo na huwa naupika na wapare wangu wanakula tu ila mimi najua bado sijaupatia hasa ukawa kama nilioula! farkhina atupe tu maujuzi watu wakajing'ate na kutoka vitambi.
 
Last edited by a moderator:
I swear ungekuwa hujaolewa ningeleta posa kwenu asap

mapishi yoote unayoweka humu unanigusa pale pale
mkate huu ndo ugonjwa wangu..

yaani chai ya mchaichai na mkate wa kumimina na katlesi asubuhi dah...

acha kabisa

Wengine tumejizoelea viazi vitamu vya kuchemsha na karanga!
 

Hongera sana, bila shaka mmeo anaenjoy mapishi yako. Vitafunwa vya kupikia nyumbani vina raha yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…