Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Mhhhhh!!!! umeshawaona mateja weye!!!! shauri yako!!! wanavyo anza kuhangaika pale wakosapo kile kipenda roho basi huwa hawatulii kabisa mpaka utawaonea huruma. Kibanio tu cha nywele umepata cha rangi gani?

Brown au purple....
 
ndio chai ya saa 10 lol!!! hahahahahah maarufu sana kwa Waingereza...Mie niko bomba sana namshukuru Mungu naingia mtaani in few mins nikaoshe macho na shopping za maandalizi ya Xmas na mwaka mpya kabla ya kuja kuangalia mchapo kati ya Arsenal na Chelsea. Ijaribu siku moja chai ya saa 10 nadhani utaipenda ila aste aste🙂🙂 usije kushindwa kula supper/dinner.
Naomba uniweke kwa uliopanga kuwapa mizawadi ya xmass lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:happy::happy::happy::happy::happy:
 
Weye tena Ablessed, kwenye list yangu ya Santa jina lako liko juu kabisa 🙂🙂

Naomba uniweke kwa uliopanga kuwapa mizawadi ya xmass lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:happy::happy::happy::happy::happy:
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana kabisa Ablessed lakini wengine kawaida huwa kama sharia lol!!! ukishazoea kifungua kinywa na vitumbua/chapatti basi kikiletwa kitafunwa kingine unaona kama breakfast haijakamilika ndio maana nikauhamishia kwenye chai ya saa 10.


Je kwa chai ya usubui haifai eeeeh. Sikukuu hii utautayarisha au utaula kwa pichaaaaa.
 
Last edited by a moderator:
Ablessed sijui kama kuna picha ya msosi wowote ambao farkhina aliweka picha hapa hakuutengeneza mwenyewe kisha kupiga picha na kupost hapa.
Je kwa chai ya usubui haifai eeeeh. Sikukuu hii utautayarisha au utaula kwa pichaaaaa.
 
Last edited by a moderator:
Ablessed sijui kama kuna picha ya msosi wowote ambao farkhina aliweka picha hapa hakuutengeneza mwenyewe kisha kupiga picha na kupost hapa.
Hahahahahahah BAK upo smart eeeeeh mimi nimekuuliza wewe je utauandaa mkate huu au utaula kwa pichaaaaaaa. farkhina yeye ni chief kuka hilo halina utani .
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
LoL!!!! Mie najua kukorofisha misosi michache tu, haya ya kucheza na unga wa ngano siyajui kabisaa, labda nitoe order kwako au kwa farkhina 🙂🙂, lakini kusema kweli mie vitu vya sukari si mpz sana ila vitu kama sambusa, bajia, kabab hapo ndio ugonjwa wangu. Nasikia huchukui order ndogo ndogo 🙂🙂 haya niambie order yako inaanzia mikate mingapi? Ili nami nijinome sikukuu hii

Hahahahahahah BAK upo smart eeeeeh mimi nimekuuliza wewe je utauandaa mkate huu au utaula kwa pichaaaaaaa. farkhina yeye ni chief kuka hilo halina utani .
 
Last edited by a moderator:
LoL!!!! Mie najua kukorofisha misosi michache tu, haya ya kucheza na unga wa ngano siyajui kabisaa, labda nitoe order kwako au kwa farkhina 🙂🙂, lakini kusema kweli mie vitu vya sukari si mpz sana ila vitu kama sambusa, bajia, kabab hapo ndio ugonjwa wangu. Nasikia huchukui order ndogo ndogo 🙂🙂 haya niambie order yako inaanzia mikate mingapi? Ili nami nijinome sikukuu hii
Hahahahahahahaha kupika najifunza kwa farkhina ndugu yangu . Hapa najiuliza haya mayai sijui niamue tu kuyalipua hivyo hivyo manake sina uhakika kama vitatoka khaaa. Unajua yale mapishi mengine bado nahangaika nayo sijaweza kutoa vya kueleweka lkn sikati tamaa mpaka kieleweke.

Afadhari kidogo sambusa naziweza lkn kamwe siwezi kumwalika farkhina najua atanitoa kasoro tu lkn bora naweza kuwaandalia watu wakaenjoy hasa wale ninaofanana nao ie ambao hawajawahi kutana na wapishi. Sasa wahi kuweka order kwa farkhina haraka iwezekanavyo si unajua mambo ni kwa order sio kuwalk in tu utakuta foleni halafu uambiwe hauko kwenye list shauri yako.
 
Last edited by a moderator:
Thanx farhina kwa pishi hili. Mimi limenipita upande ingawa nalipenda.

Sasa hapo kwenye baking powder ni option au lazima, coz nakumbuka kama huweki.

Na badala ya handmixer naweza kutumia mchapo?

Thanx again dear
 
Last edited by a moderator:
Wangu natumia 1 mug ya self raising flour 1 tsp hiliki na 6 eggs ...you will never go wrong. U
pige kwenye mixer for 10-15 mins.

Sijawahi kufanya wa 12 eggs na zabibu itabidi nijaribu
 
Back
Top Bottom