Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

nimejifunza kitu ilaa mimi pia nilikuwa na mpango wakuangiza mashine za kuoshea magar so ni website gan ina bidhaa nzur kama izoo na zenye quality
 
Mwenye uzoefu na gari za mazda demio anipatie. Nataka kujua spare zake zinapatikana hapa Tanzania kwa urahisi au gharama ni kubwa sana?

Umepotea njia cheki hapahapa jukwaani kuna uzi unaoelezea mambo ya ununuzi wa magari. Karibu kila kitu kimediskasiwa huko
 

VP sis tunaoagiza mizgo China njia gani rahisi kwetu kampuni gani inafaa
 
Kuhusu manunuzi huko china, Nilijaribu kununua kitu ali express kwa kutumia alipay, ile kujaribu kuunganisha kadi yangu ya visa kwenye ali pay nikakuta Tanzania haimo katika orodha ya inchi zinazoweza kutumia ali pay.

Nlijaribu kuwasiliana na jamaa wa ali pay wakaniambia bado wako kwenye mazungumzo ya kutuwezesha kutumia hiyo njia ya malipo salama ambayo ki ukweli ina watumiaji wengi kuliko paypal na inakubalika sana china.
Nilichogundua ni kuwa Tanzania bado iko nyuma sana kwenye mambo ya biashara ya mtandaoni duniani na serikali haifanyi juhudi ya kutosha kuruhusu watanzania na sisi kushiriki kwenye biashara hiyo ambayo inakua kila siku.

Labda kuingia Kwa JPM hapa kazi tu inaweza kuharakisha mambo
 
Jamani nawashukuru sana kwa uzi wenu. Lakini mimi nina tatizo moja tu.

Most of hizo forwarding companies mlizozielezea ni za US na zinaship mizigo from US to other countries.

Shida yangu kubwa ilikuwa ni kupata forwarding company ambayo ni ya UK au ina warehouse UK na wanaship mizigo kuja bongo.
Asanteni
 
Reactions: P.J
Tukupatua tovuti..na blog . domain name hosting kwa bei nsuri sana karibuni.. whatsapp 0769338868
 
habari zenu wanajukwaa,naomba kujuzwa iwapo kuna kampuni au mtu binafsi anayetoa huduma ya manunuzi nje ya nchi.namaanisha kufanya process zote toka manunuzi hadi mteja kupokea mzigo wake ofisini kwao.natanguliza shukrani.
 
Mzigo wa aina gani? Company zipo nyingi tu, na watu kila siku wanasafirisha mizigo
 
habari zenu wanajukwaa,naomba kujuzwa iwapo kuna kampuni au mtu binafsi anayetoa huduma ya manunuzi nje ya nchi.namaanisha kufanya process zote toka manunuzi hadi mteja kupokea mzigo wake ofisini kwao.natanguliza shukrani.
Fafanua kidogo.
Unahitaji mtu au company ikununulie mzigo kutoka nje na kukuletea tz? Which country huo Mzigo unahitaji?
 
Mwenye uzoefu na gari za mazda demio anipatie. Intems of spare je kwa nchini zinapatikana? Je zipo kama IST au swift kwa ukubwa.
Usije kununuwa mazda ni bomb kabisa, zina engine ya ford, ford ni gari mbovu kabisa.
 
Mkuu nini faida ya kununua mtandaoni?? Ilihali hapa tanzamia unalipia bei kubwa sana ktk kodi mara 3 zaid ya thaman ya bidhaa??
 
WAtumie hawa
Code:
 https://www.forward2me.com/
 
Mkuu nini faida ya kununua mtandaoni?? Ilihali hapa tanzamia unalipia bei kubwa sana ktk kodi mara 3 zaid ya thaman ya bidhaa??
Inategemea ni bidhaa gani unahitaji, Sio kila bidhaa ni ya kuagiza nje ya nchi. Tunaagiza nje ya nchi bidhaa ambazo
  • Hazipatikana kiurahisi /huwezi pata kabisa hapa Tanzania mfano: "Kindle paperwhite"
  • Kwa soko la ndani baadhi ya bidhaa bei yake ya kununua ni x2 au x3 ya ghalam za kununulia nje ya nchi + shipping + kodi , Sababu yule anayeuza naye anahitaji faida
  • Tunaagiza nje ya nchi ili kubapata bidhaa madhubuti, bila kujali ghalama utakayotumia kufikisha mzigo hapa Tanzania.
  • Kuna bidhaa hazitozwi kodi, Hivyo ukinunua na ukapata Free shipping utajikuta umeokoa nusu ye fedha ambayo ingepotea iwapo ungenunua hapa nchini.
 
habari zenu wanajukwaa,naomba kujuzwa iwapo kuna kampuni au mtu binafsi anayetoa huduma ya manunuzi nje ya nchi.namaanisha kufanya process zote toka manunuzi hadi mteja kupokea mzigo wake ofisini kwao.natanguliza shukrani.
Natoa hiyo huduma. Na mzigo wako utaupata popote ulipo. Hivi karibuni nitaweka Thread maalumu kwa kazi hii. Nitumie PM au email mw1rct(at)gmail.com
 
Mkuu unaweza kutusaidia labda kwa uzoefu wako ni bidhaa zipi ambazo unapata free shipping na zipi hupati

Maana wengine mfano mimi sijawahi kuagiza ila nimejikuta navutika niagize maelezo yako nimeyaelewa sana.
Ahsante
 
Mkuu unaweza kutusaidia labda kwa uzoefu wako ni bidhaa zipi ambazo unapata free shipping na zipi hupati

Maana wengine mfano mimi sijawahi kuagiza ila nimejikuta navutika niagize maelezo yako nimeyaelewa sana.
Ahsante
Free shipping hutegemea mambo mengi kama.
  1. Je huo mzigo unataka usafirishwe kwa njia ipi (a) Taratibu ambapo huchukua siku 15 hadi 60 ndipo mzigo ukufikie (b) Njia ya haraka - Hapa lazima ulipie shipping cost - ambapo kamuni kama DHL, ARAMEX, TNT n.k wanahusika
  2. Ukubwa / Uzito wa mzigo husika - Kadri mzigo unavyokuwa mkubwa ndio jinsi ghalama ya kusafirisha huongezeka.
  3. Seller husika wa hiyo bidhaa
Ni vigumu kusema kuwa bidhaa A, B na C hizi lazima upate free shipping. Hapana haiwezekani

Ila kuna baadhi ya site hutoa free shipping (huchukua muda wa siku 14 - 21) kwa bidhaa zao zote. Bila kujali mzigo mkubwa kiasi gani. Ila ukihitaji kwa haraka ndipo utalipia Mfano hii site:
Code:
 http://www.gearbest.com

Pia kwa soko kam ebay unapotafuta bidhaa yeyote weka tiki mahala walipo andika "free internetional shipping"


Sijui kama nitakuwa nimejibu swali lako vyema.

Karibu
 
Nimekuelewa mkuu kupita maelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…