Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Guys nmecheki kwenye shipping calculator kwa baadhi ya sites zilizotajwa hapo juu ni gharama sana kuship even a package ya 0.5 kg, mfano Comgateway gharama ya kuship 0.5kg ni around 77 USD
Ghalama ndio changamoto kwa hizi kampuni za USA, maaana wanatumia Volumetric weight (W*L*H) sambamba na uzito halisi wa kitu

Nimeanzisha hii huduma, ya kusafirisha mizigo kama wafanyavyo myus, comgateway, usaddress n.k

Mimi natumia uzito halisi wa kitu kukokotoa ghalama ya kusafirishia, na sio volumetric weight, hivyo ghalama kuwa ndogo

na hizi ndio ghalama zangu.

Mfano:
a) 0.1 - 0.5kg Gharama ya kusafirisha ni USD 15
b) 0.6 – 1kg Ghalama ya kusafirisha ni 27.14 USD
c) 1.1kg – 1.5kg Gharama ya kusafirisha ni 38.94 USD
d) 1.6kg – 2kg Gharama ya kusafirisha ni 50.74 USD

Utaongeza USD $7.5, kwenye viwango tajwa hapo juu, kama my service charge.

Ghalama za kusafirishia utalipa baada ya mzigo kuondoka nchi husika, iwe ni DUBAI, USA, UK, CHINA, JAPAN, GERMAN, THAILAND n.k, Pia waweza kuwasiliana nami na kuomba ulipie ghalama za shipping baada ya mzigo kufiaka Tanzania.

Je nini unatakiwa kufanya.

1. Wasiliana nami ili nikupe ADDRESS yako ya nchi husika - mfano DUBAI, USA, UK, CHINA, JAPAN, GERMAN, THAILAND n.k

2. Anwani nitakayokupa ndio utajaza kama shipping address yako katika website kama AMAZON, 6PM nk

3. Nitakupa (a) ghalama ya kusafirisha mzigo na (b) tracking number ya mzigo pindi mzigo umepokelewa na unasafirishwa toka Nchi husika kuja Tanzania.

4. Mzigo wako utaupokea DSM wewe mwenyewe au nitapokea na kukutumia mahala ulipo - kama upo mkoani

Mawasiliano
1. Kupiga simu/ Kutuma ujumbe: +255 (0) 625 955 137 au 0784 496 856
2. Barua Pepe (Email): mw1rct @ outlook.com
3. Whatsapp: +255 784 496 856
4. Skype: mw1rct
5. Telegram: @mw1rct au 0784496856
6. JF PM
- Thread ya rejea: www.v.ht/buy4me
 
Asante ndugu kwa elimu yako nilikitamani kitabu fulani nikashindwa jinsi ya kukinunua lakini kwa muongozo huu naweza jaribu.Nikishindwa nitarudi kwako kwa muongozo zaidi.
Vp mdau umefanikiwa kununua icho kitabu mana mm nina shida na kununua vitabu pia
 
Vp mdau umefanikiwa kununua icho kitabu mana mm nina shida na kununua vitabu pia
Kitabu chochote unachohitaji naweza kukufikishia TZ kutoka AMAZON(.com au .co.uk au .in)

Vitabu havina tozo la kodi pindi uingizapo hapa nchini

Ghalama ya kukusafirishia ni US $15 iwapo uzito wake ni chini ya uzito 500g, na ghalama yake ya usafirishaji ni US $27.14 iwapo uzito wake ni kati 501gm hadi 1000gm
 

Kuna kitu nimeagiza lakini sijapitia hizo njia za maajenti, nimelipa on line na nimejaza adress yangu, ndio mara yangu ya kwanza kufanya haya manunuzi, je itanifikia kweli mkuu?
 
Kuna kitu nimeagiza lakini sijapitia hizo njia za maajenti, nimelipa on line na nimejaza adress yangu, ndio mara yangu ya kwanza kufanya haya manunuzi, je itanifikia kweli mkuu?
Mzigo utakufikia. Iwapo umetumia address sahihi. Na iwapo muuzaji anatuma kuja Tz

Karibu
 
Asante sana kwa maelezo mkuu ata mm nilikuwa naanza kufuatilia nilipofika hapa ikawa changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…