Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

1. Je ulitumia njia gani kufanya malipo.

2. Je ni muda gani umepita tangu ulipie.
Mpaka namaliza process ya kuoerder sijaona data zilizonisaidia kufanya malipo.
By the way naomba muongozo kama umewahi
 
kwenye kila bidhaa kuna sehem ya kumtumia sms supplier au muuzaji na ukimtumia wengi ndani ya mda mfupi wanajibu... tena wanakubembeleza kabisa...
 
wengi wa alibaba ni waaminifu kwa expirience yangu cjaskia mtu ametapeliwa ishu ni kua direct to the point na ku order kitu unachokijua vizuri na umuandikie details zote kiusahihi Short and Clear and Exactly kitu unachokitaka Full desceiption all details model etc... usijaribu ku assum kudhani kua wanfikiri kama unavofikiri au unavojua Speak business straight language... ukikosea apo unaeza tumiwa mzigo huo huo ulio order lakini utapumzika utakavokua kituko.
 
Poapoa
 
Shipping anae kuuzia atakupa suggestion... Mzigo nliohitaji ni box 1 kubwa tu... so nlitumia DHL... watakuletea mpaka ulipo na ukifika watakupigia sim. Kodi pia ipo waliniandikia Laki 5 nkaenda kufatlia ikapungua mpaka 250. so we chukua risk ujifunze anza na mzigo mdogo...
 
Kwa wanunuzi wa bidhaa mtandaoni hapa nazungumzia Aliexpress na Alibaba huu ni uzi maalum wa kujifunza kuagiza bidhaa kupitia mtandao huu hususan Aliexpress. Mjuavyo Aliexpress ni mtoto wa Alibaba

Alibaba imebase kwenye kuuza bidhaa za jumla huku aliexpress wakibase kuuza bidhaa za rejareja na mojamoja kwa mteja

Ndio mtandao unaokuwa kwa kasi na umekuwa na wanunuzi wengi kupita hata Amazon na Ebay

Kupitia uzi huu nimeanzisha hili tuweze kupeana elimu na maarifa kuhusu manunuzi kupitia hizi site kama walivyofanya wenzetu walivyoanzisha uzi wao tukajifunza kuhusu Ebay

Natumai wataalam na wenye uzoefu mpo humu na mtajibu maswali ya wengi wetu tunaopenda kufahamu zaidi na kujifunza kuhusu aliexpres

Na maswali mengi yatabase kwenye kila kitu

Mfano mpaka bidhaa imfikie muhusika, gharama, system ya malipo, muda, na uimara wa bidhaa n.k

Karibuni sana wadau
 
Wakuu mkumbuke bidhaa kutoka aliexpress sasa hivi zinatozwa kodi na TRA mzigo ukifika lazma uende tra ukalipe kodi
 
Mimi nimenunua vifaa vya photo studio ali express nililipa kwa paypal.. na mzigo ulitumwa dar kwa dhl.. ndio umefika nahangaikia kodi
 
EBAY NIKISET COUNTRY INAANDIKA UNITED STATE NIKIJARIBU KUBADILISHA INAGOMA KBS HADI INAJILOG OUT HAPO NDO NAWACHUKIA<br />BIDHAA WANAANDIKA WANASHIP WORLD WIDE UKIAGIZA UKIBONYEZA KWENYE ship TO INAANDIKA USA UKIBADILISHA UANDIKE TANZANIA INAKATAA <br />KWANI EBAY HAINA OPTION YA KUSHIP BIDHAA TZ?
 
mbn wananiandikia ship to usa wakat nipo tz? nikibadilisha inagoma
 

WAONGEZE VIABOX, They are the best shipping forwading service they can stay on the top of all those mentioned above.
nimewatumia once nna experience nao. nimeandika short review kwenye thread hii
Check comparison hapo chini.
 
Habari...
Kwa kifupi kuna dada mfilipino amekuwa akipost vitu vya aina tofaut tofaut fb mfano nguo,simu,viatu etc..siku moja nikamfuata inbox nikaulizia bei kwa baadhi ya nguo nilizozipenda akanitajia kwa gharama ya kwao nikabadili kwa Tshs,kiukweli haikuwa gharama kubwa sana na hapo nikavutiwa na kufanya biashara hiyo..

MSAADA...kunataratibu gani zinatakiwa kufuatwa ili nipate mzigo ukiwa salama??yeye sera yake atumiwe hela ndo anatuma mzigo..
Hapa nipo njiapanda nashindwa kujua nafanyaje juu ya hili, tafadhali wazoefu wa mambo haya mnisaidie.,.

Asante.
 

Ila angalia Facebook matapeli wengi sana mkuu usije lizwa
Maana unaweza tuma pesa na mzigo usiupate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…