Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Habari wakuu. Nmefuatilia sana uzi huu kwani nilkuwanahitaji kufanya manunuzi kwa njia ya mtandao. Kusema kwel uzi na jf kwa ujumla vmenisaidia sana. Kupitia akaunt yangu nmb nilijiunga kufanya online purchases ndan ya saa 24 ilkuwa tayar. Nikajiunga pay pal,ebay na alibaba.
Nilichojifunza huko.

1. Ebay gharama za vitu n nzuri sana na bidhaa ni nzuri pia. Nmeagiza saa na vitu bei nzur bado nasubiri hope wk hii vita fika. Nmepewa tracking namba na kampun inayosafirisha so naicheki kujua mzgo uko wap.

Ebay wanaurahis wa kulipia mzgo wako kwani malipo mengi yanafanyika via paypal so ni rahisi.

2. Alibaba ni mtandao mzuri sana na bidhaa nyingi ni za china na bei ni nzur sana kwani ziko chin kulingana na bei za ebay.

Huku sijanunua kitu kwani naogopa kufanya malipo kwa sababu wauzaji weng wanataka kulipwa kwa TT au tiss njia ambayo naona kumtrace muuzaji kidogo n ngumu kuliko kupitia paypal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia nasafirisha kwa njia ya posta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmenunua ebay saa na viatu. Kabla haujachagua biadhaa angalia chin kuna sehem muuzaji anaeleza anauza wap na hauzi wap mfano wapo ambao hawauz nje ya usa na wengne n canada tu wengne ni uingereza tu ila ukiona shipping world wide basi huyo had kibiti analeta mzgo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm naona kama Alibaba kaz kufanya malipo kama ebay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbegu unapaswa kuagiza kutoka kampuni ya mbegu. Ebay ni kampuni ya mbegu? Ukiuziwa mbegu isiyofaa utamuuliza nani ebay?
 
nikiset country kwenye setting inagoma inataka usa tu. imebidi app ya ebay niifute tu
 
Mkuu mimi nataka kutumia overseas shipping methord una ufaham nalo?
Nataka kuagiza kitu kikubwa
Je unaagiza wapi mzigo? Je website ipi unatumia?
Ndio inawezekana kwa mzigo mkubwa ukaja kwa meli.
 
Mbegu unapaswa kuagiza kutoka kampuni ya mbegu. Ebay ni kampuni ya mbegu? Ukiuziwa mbegu isiyofaa utamuuliza nani ebay?
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nataka ninunue mbegu za strawberry kutoka ebay.mimi ni mgeni katika manunuzi ya mtandao bei zao nimeona ni nzuri.
Asanten nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu... angalizo... mimi ni mkulima wa strawberry miaka mingi saaana... kuotesha mbigu ni kazi ngumu saana kulingana na condition zetu...

La msingi ni kununua miche tu.
Mmoja unauzwa 1000.

Ukinunua 50 tu baada ya muda unapata miche yako km mia 5 na kuendelea

Sent from "La -Vista"
 
Salam wadau
Naombeni msaada jinsi ya kuweza kununua au kuagiza kifaa nitakacho kutoka nje na nikapata kwa njia ya posta au njia zingine.

Juzi nilipata computer yangu nzuri online ila namna ya kulipia sijui na hofu ya utapeli wa mtandao ni shida pia.

Ushauri wadau.
 
Ni bora uwe na mtu au kampuni, au wakala ambaye anakuwakilisha na kukuhakikishia mzigo wako unakufikia salama na sehemu husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…