Mifumo yote ni salama.Mkuu, ni upi usalama wa kulipa Aliexpress na Amazon kwa kutoa details zako za bank account?
Appreciated Mkuu.Mifumo yote ni salama.
Alipay na Amazon Pay - Ni mifumo salama itumiwayo na aliexpress (alipay) na Amazon (amazon pay) kufanya manunuzi.
Ambapo mnunuzi unaweka taarifa zako za card na malipo yanafanyika kiusalama kabisa.
Kwa mifumo yote miwili, Seller hapewi fedha hadi pale wewe mnunuzi utakapo thibitisha kuwa umepokea mzigo
- Iwapo mzigo hujapokea REFUND hufanyika na fedha inarudishwa kwenye kadi husika.
Naomba namba ya simu kuna kitu nataka kuagiza u.s.aMifumo yote ni salama.
Alipay na Amazon Pay - Ni mifumo salama itumiwayo na aliexpress (alipay) na Amazon (amazon pay) kufanya manunuzi.
Ambapo mnunuzi unaweka taarifa zako za card na malipo yanafanyika kiusalama kabisa.
Kwa mifumo yote miwili, Seller hapewi fedha hadi pale wewe mnunuzi utakapo thibitisha kuwa umepokea mzigo
- Iwapo mzigo hujapokea REFUND hufanyika na fedha inarudishwa kwenye kadi husika.
Mawasiliano yako hapa www.bit.ly/101buy4me post ya kwanzaNaomba namba ya simu kuna kitu nataka kuagiza u.s.a
SanaaaUzi mzuri sana huu
Angalia seller wenye hiyo logoJe kwa ebay na wengine tuangalie nini ili kujua bidhaa ni genuine?
Pitia hizi thread na utafanikiwawakuu nataka niagize bidhaa kutoka alliepress, sasa changamoto imekuja kwenye malipo ya bidhaa ,bytheway mimi nina crdb card tu
kwa wajuzi wa haya mambo nisaidieni niopoe mzigo nje kwa mara ya kwanza kabisa mmi nina crdb card
Inategemea mzigo na mzigo.Hivi Mkuu Mwl RCT sasahivi gharama ya ku-import vitu toka nje haijapanda sana maana naona magu amaebana vitu vingi sana hapo bandarini + sera yake ya v wonder nahisi ndio itakuwa balaa zaidi. Hali ikoje sasahivi???
Mkuu naeza kukupim unipe shule kidogo physicaly jinsi ya kufanya manunuzi Kama hutojaliAngalia seller wenye hiyo logo
View attachment 700335
Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasaNaombeni kujua ni platform zipi naweza agiza bidhaa online na kulipia kwa kutumia mpesa, tigo pesa apa Tanzania tofauti na kikuu.com
Plz check 0653321915 nataka kujua zaidi kuhusu jinsi ya kuoder mzigo na hizo process za ushurumi nimenunua vifaa vya photo studio ali express nililipa kwa paypal.. na mzigo ulitumwa dar kwa dhl.. ndio umefika nahangaikia kodi