Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

refund jee?
Nafikiri hakuzingatia muda, seller akiwa suspended wao eBay ndio wanakupa taarifa kuwa umenunua bidhaa kwa muuzaji aliekuwa suspended hivyo kama ametuma mzigo subiri mpaka expecfed delivery period na kama hautafika bsi wanakurefund muda tu utakaowaambia kuwa mzigo hujaupata..ila ndio inakupasa kuzingatia muda unaopewa
 
OK mkuu
 
Habari za humu ndani wadau, ilikua nataka kujaribu kununua bidhaa online katika site ya aliexpress na ebay. So naomba kujuzwa kitu katika kueweka details kama adress na mengine kuna sehemu ya kujaza postal code, sasa lazima niweke postal code yangu au ata ya mtu tu, au shule au naweka postal code zipi apa?

Asante
 
sasa lazima niweke postal code yangu au ata ya mtu tu, au shule au naweka postal code zipi apa?
Weka postal code ya wilaya uliyopo.

Download hii attachment kisha tafuta wilaya yako na chukua hiyo postal code husika.

Mfano
- Kwa mkazi wa kivukoni yeye atatumia Postcode hii: 11101
 

Attachments

Kwa muda huu ninaandika kuna forwarding company ipi yenye gharama nafuu zaidi ya My US?
 
Wakuu habari,
Nataka kuagiza simu nimeiona Alibaba, nimeipenda naomba kujua yafuatayo.
1. Usalama wa fedha
2. Uhakika wa bidhaa. (Picha vs real product)
3. Bidhaa inachukua muda gani mpaka kunifikia
4. Refund procedures endapo mzigo sijaupata, au sijarishika nao.
N.k
Karibuni
 
Mimi apa boss,
Na nina fanya biashara kwa kununua vtu huko aliexpres..

Ila kwa CM lazima utapewa EXPRESS SHIPPING METHODE dhl, Fedex Na zinginezo, ambazo niza halaka na uhakika, yani ndani ya siku 4,5 ,8,10 adi 15 utakua ushapokea bidhaa yako ila izo nighali sana.

Unaweza kuta gharama yake ikawa kubwa kuliko ata ya bidhaa uliyo inunua

Na
ukijumlisha usafir + bei ya bidhaa inaweza kua kubwa kuliko ukinunua io bidhaa apa apa Bongo.

Ivyo tuu ndo vtu vya kuzingatia
 
1. usalama wa fedha apo hakuna tatizo sana.

2. Ukiona huna uhakika na bihaa picha, basi check imenunuliwa mala ngapi(orders) pia shuka mpaka sehem iliyo andikwa feedbacks uta tazama apo comments za walio nunua hio bidhaaa na wengine huweka picha ya bidhaa hio,

3. Inategemeana na shippment methode uliyo itumia ku safilisha mzigo wako, kwa izi njia za bei rahisi mimi nai amini sana ALIEXPRES STANDARD SHIPPING METHOD hii hua niki iona tuu kwenye bidhaa, basi na amini mzigo ntaupata ndan ya wiki 3 adi 4, apo nipo MBEYA.

4. Ondoa shaka, niliwai nunua SMARTWATCHES kadhaa kwa laki 3, zilipo fika uku zikawa azishiki mtandao, naisi nikwa sabu ya kuto kua registered tcra, basi nili Open refund, nikapewa pesa yangu yote na saa nika ambiwa nibaki nazo. Ila refund zina chukua mda sana kufika bongo, ili bidi nisubilie miezi mitatu ndo pesa ikawa tayar..
 
Ngoja waje. Mimi mwenyewe kuna vitu navitamani sana kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…