Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Hata mimi nataka kujua zaidi,kuna kitu nataka kuagizia kama sio leo ni kesho asubuhi..
 
Hata mimi nataka kujua zaidi,kuna kitu nataka kuagizia kama sio leo ni kesho asubuhi..
Hii link pia itakusaidia: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
1. usalama wa fedha apo hakuna tatizo sana.
Iwapo utatumia njia rasmi ya kufanya malipo, Ni salama.
2. Uhakika wa bidhaa. (Picha vs real product)
Kwanza hakikisha unafanyia utafiti bidhaa husika, kutoka site zingine kwa kuangalia reviews za wanunuaji wengine walio tangulia. Mfano: Waweza kuwa umeiona bidhaa ALIBABA, kabla ya kufikiria kununua kwanza ingia site kama AMAZON, tafuta hiyo bidhaa, na angalia sehemu ya maoni ya walio nunua. Kwa utaratibu huu lazima utapata bidhaa yenye ubora.
Kumbuka china zipo bidhaa zenye ubora na zisizo na ubora, hivyo ni jukumu lako kufanya utafiti kwanza
3. Bidhaa inachukua muda gani mpaka kunifikia
Inategemea na njia ya usafirishaji uliyokubaliana na muuzaji.
- Zipo njia za haraka, Huchukua siku 5 hadi 9 kwa mzigo kufika nchini. Changamoto wa njia hii (a) Ghalama ya usafirishaji (b) Agent and handling fees - baada ya mzigo kufika nchini (c) Kodi/ VAT
- Njia isiyo ya haraka; Mzigo unachukua kati ya siku 11 hadi 21, Ghalama ya usafirishaji huwa ni ndogo.
Unaweza kuta gharama yake ikawa kubwa kuliko ata ya bidhaa uliyo inunua
Ndio, mfao waweza nunua earphone kwa dola 5, ila ukataka zikufikia ndani ya muda mfupi, seller atatumia DHL/ FEDEX na utajikuta unalipia freight cost ya Dola kati ya 15 hadi 22, Chukua umelipa dola 15
Hapo utaona bidhaa hadi inakufikia unakuwa umetumia USD20
4. Refund procedures endapo mzigo sijaupata, au sijarishika nao.
N.k
Karibuni
Njia uliyotumiakufanya malipo ndio njia utakayotumia kupokea refund.
Hivyo epuka njia zisizo rasmi katika kufanya muamala, fuata taratibuza site husika.

Iwapo bado unashaka basi waweza kutumia huduma yangu hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
 
Why Amazon or Ebay ? When we havie Jumia and Kivuko in Tanzania. Its better to go for a local store than waiting for an international store to do our shipments.
 
Naomba nionyeshe sehemu ya kuthibitisha umepokea.
Vp usipothibitisha umepokea inakuaje?
 
Naomba nionyeshe sehemu ya kuthibitisha umepokea.
Hapo nilipo zungushia
Vp usipothibitisha umepokea inakuaje?

Bila shaka KakaJambazi nimeeleweka
Huo muda ukiisha, Automatic muuzaji anapewa fedha yake. Hata bila ya wewe kutoa taarifa.

Ila kwanza utatumiwa EMAIL ya kukupa taarifa kuwa inatakiwa uthibitishe kuwa mzigo umekufikia
 
Na hiyo postcode 11 ni vipi? naona ziko mbili.
Download attachment husika.
Tumia muda kuelewa kilicho nadikwa kwenye hiyo PDF,
Then search jina la wilaya yako au Kata yako, Na utawezaa kuona POSTCODE sahihi unayotakiwa kutumia.
 
Brother hongela nahangaik sana namna ya kununua gali mtandaoni hasa nchi za wenzetu nataka nipate kupitia website ya Amazon ndo nmeipenda bt wana mawakala hapa Tanzania??????
 
wakuu hawa tra wanakata asilimia ngap ya thaman ya mzigo kama kodi? (mzigo ulionunuliwa kupitia mtandao)
 
Wapendwa habari za jioni?

Baada ya mizunguko yangu ya Leo nimepata wazo la kununua bidhaa mtandaoni. Lakini wakati naendelea kutafakri nikagundua sijui chochote kuhusu hili, wakati naendelea kuwaza zaidi nikakumbuka ipo JF na ninaweza kupata msaada huku.

Swala la msingi ninaomba kufahamishwa jinsi ya kununua bidhaa mtandaoni taratibu na kwa mapana na marefu tangu unachagua bidhaa, jinsi ya kulipia bidhaa, namna bidhaa inavyosafirishwa gharama za kusafirisha bidhaa kodi na jinsi ninavyoweza kufikiwa ba hiyo bidhaa.

Ikumbukwe tu mpaka Sasa hivi sijui chochote kuhusu hili kwa hiyo naomba naomba nielekezwe hatua Moja baada ya nyingine kwa unasahau.

Ahsante na mbarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una VISA card au MasterCard iliyiverified kwa ajili ya online purchases,nenda play store download Ali Express fanya mambo kuwa rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wadau habari za muda

ningependa kufahamu mchanganuo wa biashara kupitia Alibaba, nahitaji kununua bidhaa kutoka china.

natamani kufanya biashara ya alunium foil ana apo baadae niwe na kiwanda ila kwa sasa. nikijarbu kuwasliana na kampuni za china nakuta bei zao zko juu ama tofauti ndogo. so nkipga maesabu nakuta ntawafaidisha watu wa shipping an tra na mimi stopata ktuy.

mwenye uelewa zaid naomba aniwezeshe kimchanganuo wa makato ama kujua kampuni za be nafuu na ubora mzuri
 
Utatapeliwa tu bure huko mitandaoni, tafuta mtaji uende ukafate China
 
Kuna bidhaa nahitaji kununua katika mtandao wa Alibaba ila seller kunambia nimlipe kwa TT je ni njia salama kwa pesa yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…