Mkuu naomba unambie huwa unanunua site zipi?Mara nying nanunua viatu na saa , lakn hawa Ndugu zetu TRA ndo walinifanya kuogopa kutu.ia DHL nikawa natumia posta , hasara ya posta mzigo unachelewa kufika ... Ntajaribu kuangalia hayo makampuni ya forwdr
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia uzuri kwa sasa tayari wametoa Global (rom) Version, iko makini zaidisitaki kusubiri nahitaji hiyo XIAOMI redmi note 7 ya 6GB RAM /64GB
Sahihi,Nipe muongozo natoa yote 60,3000 TZS AU natanguliza kiasi
Nimefanya update ya price, Na kuongezea hizo zilizopata update na kuwa Global VersionXIAOMI redmi note 7 ya 6GB RAM /64GB
NimekuPMNimefanya update ya price, Na kuongezea hizo zilizopata update na kuwa Global Version
Chagua moja kati ya hizo global version.
kwenye camera hapo ni shiida, hasa kwa shughul zanguHabari ndugu BANGO JEUPE
Hii itakufaa
Xiaomi Redmi Note 7
- Size: 4GB 64GB
- Cameras 48MP ( Hii camera itakidhi sana mahitaji ya kazi zako, iwe ni picha ya kawaida au video )
- Screen size: 6.3'' Water Drop FHD+
- Battery: C 4.0 4000
BEI - Chagua kati ya 4GB na 6GB ram
- 6GB/ 64GB = TZS 603,000
- 4GB/ 64GB = TZS 557,172
Picha
View attachment 1030088
VIDEO
TARATIBU ZA KUWEKA ORDER
- Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa - JamiiForums
MUDA: Wiki Tatu (3) mzigo unakufikia
KARIBU
Inafaa sana kwa wadau wa youtube
Nina ka office kangu ka furniture.. naweka sana picha mtandaon.. inanifaa sana simu ya aina hiyo, ngoja niangalie angalie nifanye maamuzInafaa sana kwa wadau wa youtube
Shukrani ndugu nangoja kwa hamu nami nisumbue hapa JF nikiwa ndani ya Redmi, kwa mwaka huu nitakua nimetimiza moja ya ndoto zangu team TECNO nawaachaView attachment 1043084
Nimepokea malipo uliyofanya, Ahsante sana ndugu BANGO JEUPE
Manunuzi tayari yamefanyika
Tracking number utapewa baada ya muuzaji kutuma.
----------------------------------------------------------------------
Kwa wana JF wanaohitaji kufanya order kwanza pitia hii thread: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa - JamiiForums
- Unapata ujumbe gani?
Ni broker.unaonline trade inaitwa olymp trade
Aliexpress me inanisumbua kwenye malipo haitoi hela kwenye account hivyo naishia hewani natumia nmb accountBulldog na wadau wengine nimenunua mzigo TABLET PC aina ya Lenovo kwa shillingi 250,000 ALIEXPRESS imefika within two weeks sikutoa kodi hata mia, nimenunua pia simu aina ya i ocean x8 mini ya ukweli balaa level za i phone 5 na galaxy s4 kwa shillingi laki 270-280
nimeagiza (bado inakuja) wireless router inayotumia Line ya simu, iko unlocked kwa shillingi elfu 80 na huku ni laki na 50...inaweza ku transfer 21 mbs per second
kwa uzoefu wangu wa miaka 3 kununua vitu online AMAZON kuna bei mkasi sana, ikifuatia EBAY, ali express ndio watu wengi hasa wafanya biashara wanapaweza na ALIBABA
LENOVO TABLET YENYEWE HII HAPA
Haina haja ya kuogopa kununua mtandaoni ndugu zanguni kama watu wengi wanavyodhania
Jaribu kutumia M-Pesa Virtual MasterCardAliexpress me inanisumbua kwenye malipo haitoi hela kwenye account hivyo naishia hewani natumia nmb account
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Je hiyo card yako inakubali kwenye site zingine ukiacha aliexpress??Aliexpress me inanisumbua kwenye malipo haitoi hela kwenye account
Hawana option ya M-Pesa wala tigo pesaJaribu kutumia M-Pesa Virtual MasterCard
Sijawahi kufanya kwa site nyingine hiyo Aliexpress ndo ya kwanza. Basi ntajaribu kufuatilia benk ili wanifungulie1. Je hiyo card yako inakubali kwenye site zingine ukiacha aliexpress??
2. Je card yako imewezeshwa kufanya miamala mtandaoni? - Hili hufanyika benki, By default card zote ziko blocked kwa miamala mtandaoni, inabidi uwaeleze benki husika waruhusu kufanyika kwa miamala mtandaoni.
3. Iwapo #1 na #2 hapo juu ziko sawa, basi tujulishe tukupe wazo lingine la nini cha kufanya