WAKU-GOOGLE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 950
- 628
Hivi hiyo postcode ni ipi jamani maana niliwahi sikia Tanzania hamna hivo vituHatua ya kwanza jisajili kwenye mtandao unaotaka kununua bidhaaa,eg AliExpress
Humo utajaza data zako fresh ikiwepo na adress yako bila kukosea postcode ya eneo lako
Hatua ifuatayo,fanya manunuzi ,tumia mpesa mastercard kufanya payments ni rahisi sana..
Subiria mzgo wako huku ukiwa una utrack,ukifka posta nenda na ID yako utapewa furushi lako.
Postcode zipo mkuu,itakua uliskia zip codeHivi hiyo postcode ni ipi jamani maana niliwahi sikia Tanzania hamna hivo vitu
Okay mkuuPostcode zipo mkuu,itakua uliskia zip code
hahaha au utakutana na mnyama mkali tra...............Hatua ya kwanza jisajili kwenye mtandao unaotaka kununua bidhaaa,eg AliExpress
Humo utajaza data zako fresh ikiwepo na adress yako bila kukosea postcode ya eneo lako
Hatua ifuatayo,fanya manunuzi ,tumia mpesa mastercard kufanya payments ni rahisi sana..
Subiria mzgo wako huku ukiwa una utrack,ukifka posta nenda na ID yako utapewa furushi lako.
Post code ndiyo zipi mkuu
Kiongoz hawa aliexpress huwa hawahitaji sender and holder mfano dhl ambao ni wasafirishaji mizigo mana kwenye kikuu ukiagiza hawahitaji hawa watu na aliexpress wapo hivyo????Ingia google Tanzania postal code,utafungua link ya tcra utapata ya eneo lako
Kiongoz hawa aliexpress huwa hawahitaji sender and holder mfano dhl ambao ni wasafirishaji mizigo mana kwenye kikuu ukiagiza hawahitaji hawa watu na aliexpress wapo hivyo????
Ok! ngoja nifungue akaunt hukoSjawahi tumia kikuuu,ila AliExpress utachagua tu shipping agent,zipo za kulipia na free shipping ipo pia
Kama card ya kawaida tu mkuu,ushatengeneza mpesa Mastercard?Mkuu hii mpesa mastercard kwa aliexpress unafanyaje??? Tupe mwongozo mkuu nitumie hiyo kuagiza vitu
Nataka namna ya kulipia i mean hatua ukiwa na mpesa mastercard ninayotayariKama card ya kawaida tu mkuu,ushatengeneza mpesa Mastercard?
Utaclick buy basi utaambiwa uchague njia ya malipo utachagua Add new card kisha utajaza particular za card yakoNataka namna ya kulipia i mean hatua ukiwa na mpesa mastercard ninayotayari
Thanks mkuu.......! pamojaUtaclick buy basi utaambiwa uchague njia ya malipo utachagua Add new card kisha utajaza particular za card yako
View attachment 1130001
Hapo kwenye alama unajazaje?? tarehe na mwaka wa kadi au wa siku ya purchase na security codeUtaclick buy basi utaambiwa uchague njia ya malipo utachagua Add new card kisha utajaza particular za card yako
View attachment 1130001
Sio siku ya manunuzi,mwezi na mwaka wa cardHapo kwenye alama unajazaje?? tarehe na mwaka wa kadi au wa siku ya purchase na security code View attachment 1130021
PamojaCard namba ni ile minamba mingi yote,MM mwezi ,YY ni mwaka wa card kuisha, security code ndio zile namba za CVV zipo tatu