vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Mbowe kibuyu chake kimejaa asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama ishafutika , hiki kilio chako kinatokana na nini ?We endelea kukunja ngumi huwezi elewa chochote, Chadema ilishafutika kwenye ramani Erythrocyte
The devil is in the details. Unaweza ambatanisha baadhi ya screenshots za hayo matusi ambazo alizipost huyo Maria?Maria Sarungi, Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Sio tatizo kudai anachokiamini, tatizo ni namna anavyoendesha hizo harakati zake, zimekuwa ni harakati za kutukana watu, kudhalilisha mamlaka halali na muda mwingine kubeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hakuna ubishi kuwa Mheshimiwa Freeman Aikeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema ni Mmoja wa Wanasiasa wa upinzani wenye mafanikio makubwa na historia itamuandika kwa wino wa dhahabu. Mbowe amekuwa wakati wote akikosoa, kushauri au kufanya harakati bila kudhalilisha au kutweza utu na heshima za watu wengine. Hawa wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni ni bora wakajifunza na kuiga heshima na hekima ya Mwenyekiti wao.
Tunaweza kutoa dukuduku zetu bila kutukana, kukebehi au kudharau watu wengine na Serikali yetu ikasikiliza na kufanyiia kazi. Maria Sarungi, mamlaka unayoidhalilisha imewekwa na Wananchi. Serikali inafanya mambo mengi ya maendeleo haiwezekani kila siku wewe ni kukosoa tu as if hakuna Shule mpya zinazojengwa, barabara, miradi ya maji, hospital, vituo vya afya, miradi ya Umme, SGR, NHPJ, Elimu bure etc.
Tanzania ni nchi yetu, itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Sasa kama Chadema ilishafutika katika ramani, Maria Sarungi analipia wapi kadi yake ya uanachama?We endelea kukunja ngumi huwezi elewa chochote, Chadema ilishafutika kwenye ramani Erythrocyte
Vikao gani hivyo tulivyokubaliana kama Taifa kuwatukana na kuwafedhehesha viongozi wetu wa Taifa?Kigogo alikua anamtukana sana Magufuli mlikua mkishangilia.
Well inavyoelekea kama Taifa tumekubaliana kwamba matusi ndio njia sahihi ya kueleza matamanio yetu kwa viongozi.
Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Chanzo
https://twitter.com/mariastsehai/status/1533345700012081152?lang=en
Hebu tupe mfano wa matusi yake basi!Hakuna shida na msimamo wake au namna anavyotetea hayo anayoa amini, Tanzania ni Nchi huru yenye, inayofuata utawala wa Sheria. Tatizo ni namna anavyo adress hayo mawazo yake, sio lazima utweze mamlaka au udhalilishe watu wengine kutetea kile unachokiaminiu.
Sasa si uende mahakamani na ushahidi wako bibie?We endelea kukunja ngumi huwezi elewa chochote, Chadema ilishafutika kwenye ramani Erythrocyte
Mamlaka halali huletwa na chaguzi za haki. Kilichofanyika uchaguzi wa SM 2019 na GE 2020 ni mjinga tu anaweza kusema hii ni mamlaka halali. Tunaposisitiza chaguzi za haki, lengo ni kuhakikisha kunapatikana heshima ya mamlaka hiyo. Unapopata mamlaka kwa njia za kihayawani, usitegemee kupata heshima usiyostahili.Matusi hajawahi kujenga Nchi Stroke
Sio kweli Maria Sarungi ana kadi ya CCM miaka yote.Mwanachama hai Fundi Mchundo
Imefutika wapi mkuu?, huku nilipo wananchi wanawasubiri CCM kwenye sanduku 2025, tume huru ikiwepo Jimbo hili hamshindi kuanzia diwani mpka Urais.We endelea kukunja ngumi huwezi elewa chochote, Chadema ilishafutika kwenye ramani Erythrocyte
Sasa si uende mahakamani na ushahidi wako bibi
Haya ngoja tumuachie Mwenyewe MKANDAHARIMambo yao waachie wenyewe...
Mkuu zitto junior Wananch wanaelewa nini CCM inafanyaImefutika wapi mkuu?, huku nilipo wananchi wanawasubiri CCM kwenye sanduku 2025, tume huru ikiwepo Jimbo hili hamshindi kuanzia diwani mpka Urais.
Kadi sio shida, Mtu anaweza asiwe na kadi ya CCM lakini bado akawa ni mfuasi wa CCM, Maria ni mfuasi kindaki ndaki wa Chadema.Sio kweli Maria Sarungi ana kadi ya CCM miaka yote.
Mama amekuona subiri mkeka ujao unaweza kupewa u dcMaria Sarungi, Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Sio tatizo kudai anachokiamini, tatizo ni namna anavyoendesha hizo harakati zake, zimekuwa ni harakati za kutukana watu, kudhalilisha mamlaka halali na muda mwingine kubeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hakuna ubishi kuwa Mheshimiwa Freeman Aikeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema ni Mmoja wa Wanasiasa wa upinzani wenye mafanikio makubwa na historia itamuandika kwa wino wa dhahabu. Mbowe amekuwa wakati wote akikosoa, kushauri au kufanya harakati bila kudhalilisha au kutweza utu na heshima za watu wengine. Hawa wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni ni bora wakajifunza na kuiga heshima na hekima ya Mwenyekiti wao.
Tunaweza kutoa dukuduku zetu bila kutukana, kukebehi au kudharau watu wengine na Serikali yetu ikasikiliza na kufanyiia kazi. Maria Sarungi, mamlaka unayoidhalilisha imewekwa na Wananchi. Serikali inafanya mambo mengi ya maendeleo haiwezekani kila siku wewe ni kukosoa tu as if hakuna Shule mpya zinazojengwa, barabara, miradi ya maji, hospital, vituo vya afya, miradi ya Umme, SGR, NHPJ, Elimu bure etc.
Tanzania ni nchi yetu, itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan