Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Wakuifuta bado hajazaliwa kuna mmoja wenu alijaribu kuifuta cha ajabu akafutika yeyeWe endelea kukunja ngumi huwezi elewa chochote, Chadema ilishafutika kwenye ramani Erythrocyte
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuifuta bado hajazaliwa kuna mmoja wenu alijaribu kuifuta cha ajabu akafutika yeyeWe endelea kukunja ngumi huwezi elewa chochote, Chadema ilishafutika kwenye ramani Erythrocyte
Mijitu mingine bana ukilaza tu.. Ukinipa ushahidi was tusi hata moja nakuahidi 500k cash.
Pia ukinipa namba yake ya uanachama wa chadema
Akili huwa wanaacha nyumbaniKubeza juhudi zinazofanywa na serikali sio kos kulingana na katiba yetu.
Sasa hayo ni matusi.. Na hayo ni maneno ya nyerere au maria
HakikaAkili huwa wanaacha nyumbani
View attachment 2358784
Sasa mbona unafanyo ndo Harakati zakeMaria Sarungi, Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Sio tatizo kudai anachokiamini, tatizo ni namna anavyoendesha hizo harakati zake, zimekuwa ni harakati za kutukana watu, kudhalilisha mamlaka halali na muda mwingine kubeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hakuna ubishi kuwa Mheshimiwa Freeman Aikeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema ni Mmoja wa Wanasiasa wa upinzani wenye mafanikio makubwa na historia itamuandika kwa wino wa dhahabu. Mbowe amekuwa wakati wote akikosoa, kushauri au kufanya harakati bila kudhalilisha au kutweza utu na heshima za watu wengine. Hawa wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni ni bora wakajifunza na kuiga heshima na hekima ya Mwenyekiti wao.
Tunaweza kutoa dukuduku zetu bila kutukana, kukebehi au kudharau watu wengine na Serikali yetu ikasikiliza na kufanyiia kazi. Maria Sarungi, mamlaka unayoidhalilisha imewekwa na Wananchi. Serikali inafanya mambo mengi ya maendeleo haiwezekani kila siku wewe ni kukosoa tu as if hakuna Shule mpya zinazojengwa, barabara, miradi ya maji, hospital, vituo vya afya, miradi ya Umme, SGR, NHPJ, Elimu bure etc.
Tanzania ni nchi yetu, itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Umeandika vyema na umejenga hoja vizuri, naungana na wewe lakini umekosea kusema serikali hii imewekwa na wananchi, labda kama haukuwepo wakati Magufuli anaibaka na kuinajisi demokrasia.Huyu kamanda kwa hekima, busara na ustahimilivu ni mfano bora kabisa wa kuigwa hata kwa 'watesi' wake.
NONSENSE !!!!!!!!!! STOP IT.Maria Sarungi, Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Sio tatizo kudai anachokiamini, tatizo ni namna anavyoendesha hizo harakati zake, zimekuwa ni harakati za kutukana watu, kudhalilisha mamlaka halali na muda mwingine kubeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hakuna ubishi kuwa Mheshimiwa Freeman Aikeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema ni Mmoja wa Wanasiasa wa upinzani wenye mafanikio makubwa na historia itamuandika kwa wino wa dhahabu. Mbowe amekuwa wakati wote akikosoa, kushauri au kufanya harakati bila kudhalilisha au kutweza utu na heshima za watu wengine. Hawa wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni ni bora wakajifunza na kuiga heshima na hekima ya Mwenyekiti wao.
Tunaweza kutoa dukuduku zetu bila kutukana, kukebehi au kudharau watu wengine na Serikali yetu ikasikiliza na kufanyiia kazi. Maria Sarungi, mamlaka unayoidhalilisha imewekwa na Wananchi. Serikali inafanya mambo mengi ya maendeleo haiwezekani kila siku wewe ni kukosoa tu as if hakuna Shule mpya zinazojengwa, barabara, miradi ya maji, hospital, vituo vya afya, miradi ya Umme, SGR, NHPJ, Elimu bure etc.
Tanzania ni nchi yetu, itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
koloni alijenga shule bora ya Tabora, MV Liemba na MV Victoria ambazo bado zinachapa kazi tukiacha Ikulu ya Dar es Salaam na bado aliondoka kwa heshima bila kuacha wafungwa wa siasa taka za kutunga, pia aliruhusu kila mtu amdai Uhuru bila woga na kesi za kubuma.Maria Sarungi, Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Sio tatizo kudai anachokiamini, tatizo ni namna anavyoendesha hizo harakati zake, zimekuwa ni harakati za kutukana watu, kudhalilisha mamlaka halali na muda mwingine kubeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hakuna ubishi kuwa Mheshimiwa Freeman Aikeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema ni Mmoja wa Wanasiasa wa upinzani wenye mafanikio makubwa na historia itamuandika kwa wino wa dhahabu. Mbowe amekuwa wakati wote akikosoa, kushauri au kufanya harakati bila kudhalilisha au kutweza utu na heshima za watu wengine. Hawa wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni ni bora wakajifunza na kuiga heshima na hekima ya Mwenyekiti wao.
Tunaweza kutoa dukuduku zetu bila kutukana, kukebehi au kudharau watu wengine na Serikali yetu ikasikiliza na kufanyiia kazi. Maria Sarungi, mamlaka unayoidhalilisha imewekwa na Wananchi. Serikali inafanya mambo mengi ya maendeleo haiwezekani kila siku wewe ni kukosoa tu as if hakuna Shule mpya zinazojengwa, barabara, miradi ya maji, hospital, vituo vya afya, miradi ya Umme, SGR, NHPJ, Elimu bure etc.
Tanzania ni nchi yetu, itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Maria Sarungi, Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Sio tatizo kudai anachokiamini, tatizo ni namna anavyoendesha hizo harakati zake, zimekuwa ni harakati za kutukana watu, kudhalilisha mamlaka halali na muda mwingine kubeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hakuna ubishi kuwa Mheshimiwa Freeman Aikeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema ni Mmoja wa Wanasiasa wa upinzani wenye mafanikio makubwa na historia itamuandika kwa wino wa dhahabu. Mbowe amekuwa wakati wote akikosoa, kushauri au kufanya harakati bila kudhalilisha au kutweza utu na heshima za watu wengine. Hawa wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni ni bora wakajifunza na kuiga heshima na hekima ya Mwenyekiti wao.
Tunaweza kutoa dukuduku zetu bila kutukana, kukebehi au kudharau watu wengine na Serikali yetu ikasikiliza na kufanyiia kazi. Maria Sarungi, mamlaka unayoidhalilisha imewekwa na Wananchi. Serikali inafanya mambo mengi ya maendeleo haiwezekani kila siku wewe ni kukosoa tu as if hakuna Shule mpya zinazojengwa, barabara, miradi ya maji, hospital, vituo vya afya, miradi ya Umme, SGR, NHPJ, Elimu bure etc.
Tanzania ni nchi yetu, itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Unampa ufuasi wa Chadema kwa sababu yeye anatetea haki kutamalaki kama ambavyo Chadema ni watetezi wa haki.Kadi sio shida, Mtu anaweza asiwe na kadi ya CCM lakini bado akawa ni mfuasi wa CCM, Maria ni mfuasi kindaki ndaki wa Chadema.
kwa maoni yako kosa moja lina halalisha kosa lingine au nimelewa vibaya?Kigogo alikua anamtukana sana Magufuli mlikua mkishangilia.
Well inavyoelekea kama Taifa tumekubaliana kwamba matusi ndio njia sahihi ya kueleza matamanio yetu kwa viongozi.
Mungu akubariki kwa wale ambao hawajui historia hufikiri kuwa uhuru wa Tanzania kauleta Magu.M
koloni alijenga shule bora ya Tabora, MV Liemba na MV Victoria ambazo bado zinachapa kazi tukiacha Ikulu ya Dar es Salaam na bado aliondoka kwa heshima bila kuacha wafungwa wa siasa taka za kutunga, pia aliruhusu kila mtu amdai Uhuru bila woga na kesi za kubuma.
Wewe ndiye ulimpa Maria kadi ya Chadema?Maria Sarungi, Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
Sio tatizo kudai anachokiamini, tatizo ni namna anavyoendesha hizo harakati zake, zimekuwa ni harakati za kutukana watu, kudhalilisha mamlaka halali na muda mwingine kubeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hakuna ubishi kuwa Mheshimiwa Freeman Aikeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema ni Mmoja wa Wanasiasa wa upinzani wenye mafanikio makubwa na historia itamuandika kwa wino wa dhahabu. Mbowe amekuwa wakati wote akikosoa, kushauri au kufanya harakati bila kudhalilisha au kutweza utu na heshima za watu wengine. Hawa wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni ni bora wakajifunza na kuiga heshima na hekima ya Mwenyekiti wao.
Tunaweza kutoa dukuduku zetu bila kutukana, kukebehi au kudharau watu wengine na Serikali yetu ikasikiliza na kufanyiia kazi. Maria Sarungi, mamlaka unayoidhalilisha imewekwa na Wananchi. Serikali inafanya mambo mengi ya maendeleo haiwezekani kila siku wewe ni kukosoa tu as if hakuna Shule mpya zinazojengwa, barabara, miradi ya maji, hospital, vituo vya afya, miradi ya Umme, SGR, NHPJ, Elimu bure etc.
Tanzania ni nchi yetu, itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan