Jifunzeni Siasa za Freeman Mbowe; Anachofanya Maria Sarungi ni ukosefu wa heshima kwa Mamlaka halali

The devil is in the details. Unaweza ambatanisha baadhi ya screenshots za hayo matusi ambazo alizipost huyo Maria?
 
Kigogo alikua anamtukana sana Magufuli mlikua mkishangilia.

Well inavyoelekea kama Taifa tumekubaliana kwamba matusi ndio njia sahihi ya kueleza matamanio yetu kwa viongozi.
Vikao gani hivyo tulivyokubaliana kama Taifa kuwatukana na kuwafedhehesha viongozi wetu wa Taifa?

Unajua nini huwa kinafuata baada ya matusi? Ukisikia watu wanatukanana, tarajia kinachofuata ni ngumu, matokeo, mitama na vingine vya Aina hiyo. Ndicho kweli tumekubaliana kama Taifa? Tutwangane ndipo tuheshimiane?
 
Jipunguzie mambo ya kuweka kichwani wacha wana siasa wafanye siasa kwa maendeleo na ustawi wa taifa
 
Mwanaharakati na Mwanachama hai wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekuwa akiendesha kampeni za kutukana na kudhalilisha Viongozi/Mamlaka halali kwenye mitandao ya kijamii kwa mgongo wa kudai katiba mpya.
  • Je tangu lini ni mwanachama wa hiko chama?
  • Je unao uthibitisho?
  • Rejea kauli yake ya Jun 5, 2022
==


==
Code:
Chanzo
https://twitter.com/mariastsehai/status/1533345700012081152?lang=en
 
Hebu tupe mfano wa matusi yake basi!
 
Matusi hajawahi kujenga Nchi Stroke
Mamlaka halali huletwa na chaguzi za haki. Kilichofanyika uchaguzi wa SM 2019 na GE 2020 ni mjinga tu anaweza kusema hii ni mamlaka halali. Tunaposisitiza chaguzi za haki, lengo ni kuhakikisha kunapatikana heshima ya mamlaka hiyo. Unapopata mamlaka kwa njia za kihayawani, usitegemee kupata heshima usiyostahili.
 
Mama amekuona subiri mkeka ujao unaweza kupewa u dc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…