Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #81
Ulivyo mshamba hilo si swala la polisi!Nenda polisi basi maana hayo ya kusema watu sijui wametoka kijijini haitakusaidia lolote mzee ukizingatia reputation ya hiyo filling station ni nzuri na inaaminika muda mrefu. haiwezekani asilimia 99 ya wachangiaji hapa wawe against wewe alafu bado uendelee kuwaaminisha watu kwamba filling station ndio wenye shida. Tatizo lazima litakuwa upande wako ndio maana umekosa guts za kuwachukulia hatua maana umegundua UJINGA uliufanya wewe ila umeamua kupunguza machungu yako kwa kuamua kukichafua kituo na bahati mbaya umekosa support kwa kuwa hayo unayoyasema watu hawajakutana nayo na haiwezekani wewe peke yako tu ndio upate hiyo changamoto. Alamsiq
Hivi unajua kuna gari ambazo ni model ya aina moja lkn zinaweza kuwa zinatumia aina ya mafuta tofauti so unatakiwa kwanza ww mwenye gari uwe makini kabla ya pump attendant.Ndio maana wameweka vibao vya kuonyesha ni wap unatakiwa kwendaNa muhudumu ni jukumu lake kuhakiki kuws ni petrol au diesel, wote wana makosa japo kosa kubwa ni kwa muhudumu kuhudumia kwa mazoea
Zpo ndio ila sio kwa Victoria petrol station.Pump za kisasa Zina diesel na petrol horse hapohapo wanazo Engen na baadhi ya vituo
Sahihi kabisaIla kihuhalisia gari nying ninza petrol so kama una gari ya Diesel uwe makini mwenyewe mwenye gari ukingia sheli useme mapemaaa hii Diesel usikae kimya au lah uwelke stika pale kwny mfuniko...
Sio umezama sheli na RAV 4 yakonya UK ya diesel afu unamwambia weka ya 30 kama pampu ni ile ya mikono ya diesel na petroli hapo hapo lazma uchambie upupu
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
vizuri umegundua unapiga porojo na huna madai yoyote ya kisheria. basi ulale sasa punguza keleleUlivyo mshamba hilo si swala la polisi!
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili![emoji3064][emoji3064][emoji3064] na ikawaka na kuendelea na safari!?Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!
Sijui EWURA wanasemaje hapo.
View attachment 1827601
Umegundua?vizuri umegundua unapiga porojo na huna madai yoyote ya kisheria. basi ulale sasa punguza kelele
huyu bwana mdogo mtu wa hovyo sana. kuwekewa petrol au diesel ni mwenye chombo ndiye anaamua. kama yeye kaenda kupaki gari kwenye pump anamuachia muhudumu aamue mwenyewe anategemea niniIla kihuhalisia gari nying ninza petrol so kama una gari ya Diesel uwe makini mwenyewe mwenye gari ukingia sheli useme mapemaaa hii Diesel usikae kimya au lah uwelke stika pale kwny mfuniko...
Sio umezama sheli na RAV 4 yakonya UK ya diesel afu unamwambia weka ya 30 kama pampu ni ile ya mikono ya diesel na petroli hapo hapo lazma uchambie upupu
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
wewe ni mjinga ndio maana umechanganyiwa mafuta .PeriodUmegundua?
Unaelekea kudandia treni kwa mbele.
Umeumbuka.
Nikikuuliza sasa wewe unafikiri hili swala la nani?
Yes mkuu, na waliponiwekea mara ya pili(another day kabisa), na manager akanidharau hata baada ya kulalamika, I promised to make them famous!Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili![emoji3064][emoji3064][emoji3064] na ikawaka na kuendelea na safari!?
Asante , sasa nawatahadharisha wananchi, kituo chenu hicho ni hatari kwa magari yenu.wewe ni mjinga ndio maana umechanganyiwa mafuta .Period
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili![emoji3064][emoji3064][emoji3064] na ikawaka na kuendelea na safari!?
Gari ya Diesel umewekewa petrol na ukaweza kuondoka nayo?!!!Yes mkuu, na waliponiwekea mara ya pili(another day kabisa), na manager akanidharau hata baada ya kulalamika, I promised to make them famous!
Kuna jamaa walimuwekea petrol badala ya diesel kituo fulani, waligharamia marekebisho. Uzuri waligundua kabla hajawasha gari wakashusha tank.Mkuu mwambie fundi apige tukio nenda mahakamani fungua kesi wakulipe injini mpya.
Nope!Gari ya Diesel umewekewa petrol na ukaweza kuondoka nayo?!!!
Itakuwa hizo pisi kali zinamchanganya.Mtoa mada acha kukichafua kituo chetu bwana hapo kuna pisi kali za kutosha na zinaadabu balaa...uzembe ni wako ukiwa unaingia hapo victiria pampu za petrol zipo kivyake na disel kivyake kwann wewe ukosee kila mara au unaingia apo upo tungi?
Labda ni la Saba BHata kama wewe ni darasa la saba utashindwa kuegesha palipoandikwa diesel au petrol?
Kwa comment hii inaonyesha humiliki gari au huja uzoefuHii ndio ile unaingia sheli alafu gari umeiweka kwenye pump ya petrol wakati unajua unataka diesel alafu badala utoe maelekezo unakaa kimya huku ukijua muhudumu anaelewa
Wahudumu wengi wamekariri gari ndogo nyingi ni petrol bila kumustua hawezi jua
Kwa manager kudharau malalamiko yangu , nakuhakikishia niliwaahidi kuwapaka!Wewe jamaa inatakiwa utafutwe ufungwe ..hiki unachofanya Ni kuchafua biashara Na brand Za watu..brand defamation..Siajabu wewe Ni mfanyakazi wa Camel oil