Jihadhari na hiki kituo cha mafuta cha Victoria

Ulivyo mshamba hilo si swala la polisi!
 
Na muhudumu ni jukumu lake kuhakiki kuws ni petrol au diesel, wote wana makosa japo kosa kubwa ni kwa muhudumu kuhudumia kwa mazoea
Hivi unajua kuna gari ambazo ni model ya aina moja lkn zinaweza kuwa zinatumia aina ya mafuta tofauti so unatakiwa kwanza ww mwenye gari uwe makini kabla ya pump attendant.Ndio maana wameweka vibao vya kuonyesha ni wap unatakiwa kwenda
 
Sahihi kabisa
 
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!

Sijui EWURA wanasemaje hapo.

View attachment 1827601
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili![emoji3064][emoji3064][emoji3064] na ikawaka na kuendelea na safari!?
 
vizuri umegundua unapiga porojo na huna madai yoyote ya kisheria. basi ulale sasa punguza kelele
Umegundua?
Unaelekea kudandia treni kwa mbele.
Umeumbuka.
Nikikuuliza sasa wewe unafikiri hili swala la nani?
 
huyu bwana mdogo mtu wa hovyo sana. kuwekewa petrol au diesel ni mwenye chombo ndiye anaamua. kama yeye kaenda kupaki gari kwenye pump anamuachia muhudumu aamue mwenyewe anategemea nini
 
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili![emoji3064][emoji3064][emoji3064] na ikawaka na kuendelea na safari!?
Yes mkuu, na waliponiwekea mara ya pili(another day kabisa), na manager akanidharau hata baada ya kulalamika, I promised to make them famous!
 
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili![emoji3064][emoji3064][emoji3064] na ikawaka na kuendelea na safari!?
Yes mkuu, na waliponiwekea mara ya pili(another day kabisa), na manager akanidharau hata baada ya kulalamika, I promised to make them famous!
Gari ya Diesel umewekewa petrol na ukaweza kuondoka nayo?!!!
 
Mkuu mwambie fundi apige tukio nenda mahakamani fungua kesi wakulipe injini mpya.
Kuna jamaa walimuwekea petrol badala ya diesel kituo fulani, waligharamia marekebisho. Uzuri waligundua kabla hajawasha gari wakashusha tank.
Siku hizi ukifika kwenye hicho kituo lazima uzime gari ili hata wakikosea kunakuwa hakuna uharibifu mkubwa zaidi ya kuyamwaga.
 
Mtoa mada acha kukichafua kituo chetu bwana hapo kuna pisi kali za kutosha na zinaadabu balaa...uzembe ni wako ukiwa unaingia hapo victiria pampu za petrol zipo kivyake na disel kivyake kwann wewe ukosee kila mara au unaingia apo upo tungi?
Itakuwa hizo pisi kali zinamchanganya.
 
Wewe jamaa inatakiwa utafutwe ufungwe ..hiki unachofanya Ni kuchafua biashara Na brand Za watu..brand defamation..Siajabu wewe Ni mfanyakazi wa Camel oil
 
Hii ndio ile unaingia sheli alafu gari umeiweka kwenye pump ya petrol wakati unajua unataka diesel alafu badala utoe maelekezo unakaa kimya huku ukijua muhudumu anaelewa

Wahudumu wengi wamekariri gari ndogo nyingi ni petrol bila kumustua hawezi jua
Kwa comment hii inaonyesha humiliki gari au huja uzoefu
 
Wewe jamaa inatakiwa utafutwe ufungwe ..hiki unachofanya Ni kuchafua biashara Na brand Za watu..brand defamation..Siajabu wewe Ni mfanyakazi wa Camel oil
Kwa manager kudharau malalamiko yangu , nakuhakikishia niliwaahidi kuwapaka!
Na wewe kama una kimkweche chako pale unaweza kuwekwa mkojo kabisaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…