Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ni sawa na kukuambia toka uzaliwe hadi sasa umetumia Tshs. 90B, lakini kiuhalisia hata milioni 50 ya pamoja pengine hujawahi hata ishikaHiyo hela b90 huyo jamaa hajawahi kuimiliki lakini ukisikia mauzo ya hela hiyo maana yake
Mfano wewe una duka na kwa siku una wastani wa mauzo ya laki nne tu basi kwa mwaka utakuwa na mauzo ya zaidi ya milioni 100 hela ambayo hujawahi kumiliki kwa pamoja
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hiyo anayolipa ni levy. Haiwezi kuwa kubwa.Huyo jamaa ni bilionea ila mbona analipa kodi kiduchu.Kuna kitu hakipo sawa.
Hio ni levy wewe, sio kodi. Kodi analipa TRA, hakmashauri ndo inachukua levy yake kisheria kabisa ambayo ni 0.3 ya turnover.Amejkaanga mwenyewe, kama mapato yake ndio hayo kwa mwaka hata hizo milioni 24 anazodai kulipa bado sio sawa.
Uko sahihi, Wengi humu nimegundua hawajaenda shule.Hiyo ni service levy, inapaswa kulipa 0.3%, hiyo sio tax ni ushuru wa huduma
Umeona enh, wengi humu shule hakuna.Hongera wewe unafahamu na Haya mambo
Wengine wanachangia kihisia tu
Elewa maana ya lipa 24M alafu tukupe demand note ili upate extension ya kisheria ulipe ndani ya siku 90.Kwa
Kwa hiyo 0.3 ya bilioni 90 ni milioni 24?
Hao wote mfanyabiashara na mkurugenzi, wanakwenda kumtajirisha mtu Fulani!!Inaonekana mfanyabiashara alikuwa akisaidiwa kutokulipa kodi sahihi huku na yeye akiwasaidia maafisa kuishi mjini; hiyo kujichanganya kwake kutapelekea kuangalia miaka yake yote kama alikuwa akilipa kodi sahihi, vinginevyo atalipa madeni ya miaka yake yote na penati.
Kodi inatosha,We unaijua Arusha ama unaiskia?? Wafanyabiashara hapa walikuwa hawataki kulipa service levy, Wana malimbikizo makubwa ya NYUMA na Sasa huyu mkurugenzi amekuja kuisimamia SHERIA na kukusanya fedha za serikali, wafanyabiashara hawataki... Wanamuundia zengwe hivyo.. sababu tu ya kuisimamia mapato ya serikali.
Tume iliyoundwa na Makonda sio ya sakata hili, ni tume ya kufatilia kero na changamoto zinazokabili sekta ya utalii.
Chambulo ni mtata, kwenye maswala kama haya, Wacha uchunguzi wa kina ufanyike.. mbivu na mbichi zitabainika.
Asitishie watumishi wa kaisari Ili waogope kufata chao
hoja ni, kwanini waligundua 90b baada ya makonda kuongea? kwanini hawakugundua kabla kama wao huwa wanatenda kazi kwa uaminifu kama walivyotumwa na serikali? na, mil.200 kwa mtu anayeingiza 9B ni issue? hapo uchunguzi unatakiwa kufanyika, kuna uzembe na mitego ya rushwa iliwekwa.Alichoeleza DED ni kwamba walituma tu demand ya 3m ila baada ya kufunguka kwa makonda ndiyo wakaingia kuona jamaa anaingiza kiasi gani ndiyo wakagundua ana ingiza zaidi ya 90B kwahiyo kwa hapo inatakiwa alipe 200m+ .
TRA/DED ukiwazingua wanakubambikia Kodi kubwa tu ,kwahapo huyo mfanyabiashara akishupaza shingo atafunga hiyo kampuni yake ,inakuwaje usajili kampuni mbili zenye jina moja? Hapo tofauti ni "The" tu lakini kuhalisia ni kampuni moja sema jamaa wameamua waruke nae.
Kwakifupi jamaa wamechezea control number tu mzigo umelipwa 24m ila DED wamepiga 21m.
correct! umepiga mlemle.Yaelekea wote ni mafisadi. Kodi ni million 200. Makubaliano alipe million 24 Ila atapewa demand note na risiti halali ya milioni tatu. Mchezo upo hivyo.
Aliyemwelewa atueleze, anadaiwa mil.200 ila ametumiwa demand note ya 3m na bado ni mwongo, jiji ni wasafi. what if ana ushahidi wa kutoa 24 kauweka pembeni, huyu mkurugenzi amejiridhisha hili?
Huyo jamaa ni bilionea ila mbona analipa kodi kiduchu.Kuna kitu hakipo sawa.
Haiwezi fika hiyo ela jifunze kutumia akiliHiyo ni mzunguko wake tu na sio kwamba anazo hizo hela. Turnover yake kwa mwaka itakuwa inafika kabisa hiyo. Jamaa ana magari ya kitalii mengi mno na kila siku yako barabarani. Isitoshe ana hotel nyingi za kitalii. Chambulo ni tajiri mkubwa kwenye utalii ila uropokaji utamponza
Mzungu anaitwa Chambulo au mimi ndo sielewiChamburo Ile bange yake inampeleka pabaya... Kwenye hili HAYUPO sahihi
Mtaji wa wajinga ni mkubwa sanaUko sahihi, Wengi humu nimegundua hawajaenda shule.
Endelea na hiyo misimamo yako ya kipumbavu,hii nchi sio ya mama yenu.Chambulo ni tapeli tunamfahamu..
Na ameingia mkenge wa BASHITE hapo ndipo atakapovunwa pesa pasipo kujijua
Ndivyo maisha yalivyo, lazima mmoja aumie ili mwingine apate pesaHao wote mfanyabiashara na mkurugenzi, wanakwenda kumtajirisha mtu Fulani!!
Akili yako siku hizi umeipumzisha nadhani,umeamua kutumia kichwa tu, kichwa chenyewe sasa!Hatabnaibu speaker wa bunge anaitwa zungy lakini
Mwarabu, tena vidume wa Yemen, waliowasimamishia mazayuni na mashoga zao wote wa NATO pamoja mashoga zao wa Saudia.