Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

Ni sawa na kukuambia toka uzaliwe hadi sasa umetumia Tshs. 90B, lakini kiuhalisia hata milioni 50 ya pamoja pengine hujawahi hata ishika
 
Hao wote mfanyabiashara na mkurugenzi, wanakwenda kumtajirisha mtu Fulani!!
 
Kodi inatosha,

Service levy ya nini,

Utitiri wa Kodi ndio unakwamisha uwekezaji na ajira sekta binafsi.
 
hoja ni, kwanini waligundua 90b baada ya makonda kuongea? kwanini hawakugundua kabla kama wao huwa wanatenda kazi kwa uaminifu kama walivyotumwa na serikali? na, mil.200 kwa mtu anayeingiza 9B ni issue? hapo uchunguzi unatakiwa kufanyika, kuna uzembe na mitego ya rushwa iliwekwa.
 
Aliyemwelewa atueleze, anadaiwa mil.200 ila ametumiwa demand note ya 3m na bado ni mwongo, jiji ni wasafi. what if ana ushahidi wa kutoa 24 kauweka pembeni, huyu mkurugenzi amejiridhisha hili?
kwa jinsi nilivyo msikiliza yule bwana anajua anacho zungumza... hadi wafanyabiashara wenyewe wenzake wameamua kumpa uanyekiti ujue wamemuamini...!

yani akili kubwa ikiongozwa na akili ndogo matatizo yake ndio kama hayo..! serikalini kungekuwa na double checking ya wafanya kazi wale wa sekta maalum wangeajiliwa kwa kufuata vigezo stahiki ili wafanye kazi kwa ufanisi... lakini kupeana kazi kama malipo ya uchawa matokeo yake ni aibu sana kwa Serikali...!​
 
Haiwezi fika hiyo ela jifunze kutumia akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…