Jiji la Dodoma ni chafu!

Unaweza kufagia asubuhi mpaka jioni mpaka kiama; alafu waliopewa mamlaka na wanaolipwa kuhakisha usafi unakuwepo wanaendelea kula na kujamba.
Changamoto yako ni wivu.Kwa hiyo wakijamba si ujifunike pua usipate harufu?
 
Ukiachana na Dar ila haya mengine tunayoita majiji ni hamna kitu. Nimeenda jiji moja yaani mpaka saa 1 asubuhi bado wamelala. Nilifika saa 11 alfajiri nilikuta mji kimya, sasa jiji gani hilo.
Kakijiji kakuuubwaaa!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naelewa vizuri ulichomquote. Labda kama wewe hujui namna ya kuandika vizuri ureflect mawazo yako.
Anyway jipange ndugu. Stress za mbao zako usinitolee mimi kamtolee bwana wako.
kwanini unakuwa mkali km una mimba changa?
 
Mwana-Yanga upo?JF tungekuwa tunaonana ingekuwa shida sana.Mtu akipiga bia zake tu anakuja kufokea watu JF utadhani wajukuu wake.Full vimbwanga.
Nipo Mtani nimejaa tele.

Hahahaaa. Ingekuwa ndo poa tungeonana Mtani kwani ingeleta taswira nzuri hasa juu ya haya mabandiko na hata hizi replies zetu. 🀣
 
Nipo Mtani nimejaa tele. Hahahaaa. Ingekuwa ndo poa kwani ingeleta taswira nzuri hasa juu ya haya mabandiko na hata hizi replies zetu. 🀣🀣🀣
Sawa mtani wangu mpendwa.Hivi,nje ya hoja, mtacheza lini mechi ya kimataifa na Eritrea?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…