Jiji la Dodoma ni chafu!

Jiji la Dodoma ni chafu!

Naelewa vizuri ulichomquote. Labda kama wewe hujui namna ya kuandika vizuri ureflect mawazo yako.
Anyway jipange ndugu. Stress za mbao zako usinitolee mimi kamtolee bwana wako.
kwanini unakuwa mkali km una mimba changa?
 
Nipo Mtani nimejaa tele. Hahahaaa. Ingekuwa ndo poa kwani ingeleta taswira nzuri hasa juu ya haya mabandiko na hata hizi replies zetu. 🤣🤣🤣
Sawa mtani wangu mpendwa.Hivi,nje ya hoja, mtacheza lini mechi ya kimataifa na Eritrea?😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom