Jiji la Kampala linaweza kufananishwa na mji gani wa Tanzania kwa uzuri na maendeleo?

Jiji la Kampala linaweza kufananishwa na mji gani wa Tanzania kwa uzuri na maendeleo?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kwa siku chache ambazo nimekuwepo hapa Kampala, nimeweza kujionea, japo ni kwa sehemu ndogo tu, jinsi lilivyo.

Ni jiji kwenye hadhi ya kuitwa jiji. Lina mandhari nzuri na pia hali ya hewa nzuri.

Pamoja na kwamba ni jiji, lakini ukililinganisha na jiji la Dar Es Salaam ni kulionea, na ukisema ulilinganishe na jiji la Tanga au Mbeya ni sawa na kulitukuna.

Ikiwa halijalifikia jiji la Dar Es Salaam, na pia limeyaacha mbali majiji ya Mbeya na Tanga, ni mji upi Tanzania unaweza kulinganishwa nao?
 
Uzoefu wa siku chache hauwezi kunifanya nitoe "hukumu" ya haki. Kuna Watanzania wengi wameshakaa huku miaka mingi kabla Mimi sijatia mguu. Hao ndiyo wanaopaswa "kuhukumu"

Kwa majiji ya hapa Tz ukitoa DSM hayo mengine hayawezi kuifikia Kampala .

Kampala ipo mbali na imepangika vizuri na Uchumi wake upo juu lile ni jiji la Biashara
 
Back
Top Bottom