Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
na mimi ndio nashangaàaMkuu wewe ndiye uliyefika huko, iweje sasa utuulize siye wa hapa hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mimi ndio nashangaàaMkuu wewe ndiye uliyefika huko, iweje sasa utuulize siye wa hapa hapa?
I was there , I have been thereRekebisha hiki kiingereza...hakuna kitu kama hiki...I was been there???
Mimi nime quote maneno ya Dr. Haya land kuwa sio sahihi kuandika I was been there..xxxxI was there , I have been there
Ndio niliona nikasema tumsaidie akumbuke ni mkuu wetu , lugha hiyo sio yetu na sio kila mmoja ni mtaalamu wa grammarMimi nime quote maneno ya Dr. Haya land kuwa sio sahihi kuandika I was been there..xxxx
Picha ziko wapi? Labda Arusha au DodomaKwa siku chache ambazo nimekuwepo hapa Kampala, nimeweza kujionea, japo ni kwa sehemu ndogo tu, jinsi lilivyo.
Ni jiji kwenye hadhi ya kuitwa jiji. Lina mandhari nzuri na pia hali ya hewa nzuri.
Pamoja na kwamba ni jiji, lakini ukililinganisha na jiji la Dar Es Salaam ni kulionea, na ukisema ulilinganishe na jiji la Tanga au Mbeya ni sawa na kulitukuna.
Ikiwa halijalifikia jiji la Dar Es Salaam, na pia limeyaacha mbali majiji ya Mbeya na Tanga, ni mji upi Tanzania unaweza kulinganishwa nao?
Barabara ya Mutukula kwenda Kampala utagundua kwa nini viongozi wanapendelea MAV8! Japo ni lami lakini kwa hivyo "vishimo" utatamani bodabodaKwenye miundombinu ya barabara na usafiri wa umma bado tumewapita pakubwa....barabara za mjini ndo kwanza wameanza kupanua zilikuwa ndogo/mbovu....Ila kwa bodaboda Kampala ni wengi hadi kero😂
Usibishane na Serikali mkuu!Kwamba Umeitaja Mbeya kabisaa
Hivi Mbeya yakuitwa Jiji!!
Utani sasa huo! Makambako hakuna Chuo Kikuu cha Makerere!Makambako labda🤔
Utani sasa huo! Makambako hakuna Chuo Kikuu cha Makerere!
Kampala wangekuwa na bandari, tena nzuri na kubwa kama ya Dar Es Salaam, wangetuacha mbali sana. Labda ingekuwa inachuana na akina "Durban" au "Cape Town". Waganda wamekaa kijasiriamali. Wangeitumikisha hiyo bandari ipasavyo.Ila kweli
Hivi wacha tujaribu kuashumu kuwa hakuna Bandari hapa Dar. Je ingekuwa mstari mmoja na Kampala? Au Kampala nao wangekuwa na Bandari Kama Dar
Na wanavyo isifia Kampala Nashauri hadi Jina lako ujiite MKAMPLA.Mkuu wewe ndiye uliyefika huko, iweje sasa utuulize siye wa hapa hapa?
Kwa siku chache ambazo nimekuwepo hapa Kampala, nimeweza kujionea, japo ni kwa sehemu ndogo tu, jinsi lilivyo.
Ni jiji kwenye hadhi ya kuitwa jiji. Lina mandhari nzuri na pia hali ya hewa nzuri.
Pamoja na kwamba ni jiji, lakini ukililinganisha na jiji la Dar Es Salaam ni kulionea, na ukisema ulilinganishe na jiji la Tanga au Mbeya ni sawa na kulitukuna.
Ikiwa halijalifikia jiji la Dar Es Salaam, na pia limeyaacha mbali majiji ya Mbeya na Tanga, ni mji upi Tanzania unaweza kulinganishwa nao?
labda mwanza? .Ulikaa maeneo gani mkuu owino marketi ulifika?vipi kuhusu Mpererwe na Ntinda?Kwa siku chache ambazo nimekuwepo hapa Kampala, nimeweza kujionea, japo ni kwa sehemu ndogo tu, jinsi lilivyo.
Ni jiji kwenye hadhi ya kuitwa jiji. Lina mandhari nzuri na pia hali ya hewa nzuri.
Pamoja na kwamba ni jiji, lakini ukililinganisha na jiji la Dar Es Salaam ni kulionea, na ukisema ulilinganishe na jiji la Tanga au Mbeya ni sawa na kulitukuna.
Ikiwa halijalifikia jiji la Dar Es Salaam, na pia limeyaacha mbali majiji ya Mbeya na Tanga, ni mji upi Tanzania unaweza kulinganishwa nao?
Sawa trumpRekebisha hiki kiingereza...hakuna kitu kama hiki... not..(I was been there). Ni (I have been there)...alaa
Boda boda ni kampala ni kero ya Africa masharikiUkiondoa
Ukiondoa bodaboda zinazo sababisha traffic jam si pabaya. Aliyeanzisha boda boda alikuwa na lengo zuri lakini baadaye watu wakafanya isivyo boda to boda ikawa vurugu na kelele