Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Unajua kwanini?? Ndugu uwa wanaona pindi wazazi waliomadopt wakiitwa mbele za haki mali itabaki kwa mtoto asie mtoto, wakati ma mtoni mtoto wa kuadopt anatambulika kabisa ni mtoto wako. sasa hizo sababu huyo mtoto kutambulishwa tena ki mila ni mlolongo mrefu .Bongo Somo la kuadopt bado sana
We tenaa[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui hata nimecheka nini
Inasemekana mtoto ni wa james kazaa na mdogo wa mishy.ila mishy ndo mzazi tena wa kuasili na james.ila mishy ni mafia anatuchanganya ***** loohhUnajua kwanini?? Ndugu uwa wanaona pindi wazazi waliomadopt wakiitwa mbele za haki mali itabaki kwa mtoto asie mtoto, wakati ma mtoni mtoto wa kuadopt anatambulika kabisa ni mtoto wako. sasa hizo sababu huyo mtoto kutambulishwa tena ki mila ni mlolongo mrefu .
Wameona share ya james itaenda kwa watu.baki.Unajua kwanini?? Ndugu uwa wanaona pindi wazazi waliomadopt wakiitwa mbele za haki mali itabaki kwa mtoto asie mtoto, wakati ma mtoni mtoto wa kuadopt anatambulika kabisa ni mtoto wako. sasa hizo sababu huyo mtoto kutambulishwa tena ki mila ni mlolongo mrefu .
Kwani mishy yule James bwanaa ake?Inasemekana mtoto ni wa james kazaa na mdogo wa mishy.ila mishy ndo mzazi tena wa kuasili na james.ila mishy ni mafia anatuchanganya ***** loohh
Mmmmhhhh ana balaaaHuyu mafia kweli
Mambo ya urithiAhsante ndio ya dunia, generation ya watoto wa mjini wa 90s na mwanzoni mwa 2000s inaisha pia. Ni wakati wa bongo flava huu..Nilikua sijui kumbe yule mtoto wa kuadopt?? but kwanini wafanye kuadopt?? hapo naanza kumuelewa yule mzee alipofuka msibani kua mtoto hawamtambui.Hatarii sana lakini salama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utulie sasa, heka heka za udakuu ustaafu.AR ndy nani ttz lako we mwanangu una code ngumu sana,mm uzee unanisogelea ujue [emoji1]
Ova
Sasa hapa mnatuchanganya, Ok sawa kazaa na mdogo wa Mishy, kwahio basi huyo mtoto sio wa kuadopt ni mtoto wake biologically sema mama yake sio huyo mwenzi wake. Kwahio mtoto aliemzaa kwa mwanamke ndugu wa mwenzi wake, hivi kunakutambulishwa kwa ukoo kweli?? hio si ingejulikana tu kirahisi bila utambulisho wowote kua ni mtoto wake?? Hapo kutakua na mushkeli kidogo labda kama hawakufanyana, ilikua ni IVF tu.Inasemekana mtoto ni wa james kazaa na mdogo wa mishy.ila mishy ndo mzazi tena wa kuasili na james.ila mishy ni mafia anatuchanganya ***** loohh
Siri wanaijua wao mishy na JamesSasa hapa mnatuchanganya, Ok sawa kazaa na mdogo wa Mishy, kwahio basi huyo mtoto sio wa kuadopt ni mtoto wake biologically sema mama yake sio huyo mwenzi wake. Kwahio mtoto aliemzaa kwa mwanamke ndugu wa mwenzi wake, hivi kunakutambulishwa kwa ukoo kweli?? hio si ingejulikana tu kirahisi bila utambulisho wowote kua ni mtoto wake?? Hapo kutakua na mushkeli kidogo labda kama hawakufanyana, ilikua ni IVF tu.
Hatari na nusuIla ule mtaa wafanye maombi maana naona watoto wa matajiri wote wanapagawa na pombe na starehe ukianzia kwa Marehemu mzee shanga patricia alishapagawa na bwax, James ndio hivyo alileft group mapema na safari zake za Italy naona ndiko alikoharibikiwa haya ukija azura kwa mzee rupia au bomani sijui kuna vijana pia wamepagawa na pombe ukija kwa kina george Gordon ndio kapagawa zaidi ya wote na unga juu anavuta, ukija kwa briigedia cartless pale kuanzia jimmy na kaka yake mkubwa wote wamepagawa na pombe . Pamesalimika kwa mkwe wa raisi mwinyi tu sababu hakuna kijana wa kiume.
Wana hela tukawadangie mkuu au ndo choka mbaya??Ila ule mtaa wafanye maombi maana naona watoto wa matajiri wote wanapagawa na pombe na starehe ukianzia kwa Marehemu mzee shanga patricia alishapagawa na bwax, James ndio hivyo alileft group mapema na safari zake za Italy naona ndiko alikoharibikiwa haya ukija azura kwa mzee rupia au bomani sijui kuna vijana pia wamepagawa na pombe ukija kwa kina george Gordon ndio kapagawa zaidi ya wote na unga juu anavuta, ukija kwa briigedia cartless pale kuanzia jimmy na kaka yake mkubwa wote wamepagawa na pombe . Pamesalimika kwa mkwe wa raisi mwinyi tu sababu hakuna kijana wa kiume.
Anajua mishy mwenyewe shostiKwani mishy yule James bwanaa ake?
Umesahau kwa lupembe,kuna mona lpmb mtoto yule pombe sanaaaaIla ule mtaa wafanye maombi maana naona watoto wa matajiri wote wanapagawa na pombe na starehe ukianzia kwa Marehemu mzee shanga patricia alishapagawa na bwax, James ndio hivyo alileft group mapema na safari zake za Italy naona ndiko alikoharibikiwa haya ukija azura kwa mzee rupia au bomani sijui kuna vijana pia wamepagawa na pombe ukija kwa kina george Gordon ndio kapagawa zaidi ya wote na unga juu anavuta, ukija kwa briigedia cartless pale kuanzia jimmy na kaka yake mkubwa wote wamepagawa na pombe . Pamesalimika kwa mkwe wa raisi mwinyi tu sababu hakuna kijana wa kiume.
Ana balaa Sio dogo duhhhAnajua mishy mwenyewe shosti
Mishi kanishinda tabia