Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuona Ig nikawa najiuliza huyo mwanaume vip wakati anakibabu cha kizungu nikajua kaka ake au mwanae kumbe 🙄🙄🙄Huyu makonde atakuwa amewaloga haki ya Mungu
Ilibidi nikaangalie insta, it's true dada mishy kaupiga mwingi🙌ndio
Ya mjini mengiii shogaangusasa na wewe unadhan utasemaje mtu hadi wamezaa kuna ubiznes patna hapo. ni zaidi bwana. kwanini kama mke wa marehem yupo asipewe pole apewe mishy...tyena james wa mishy haha
Ilo ni lishangazi ndo mambo ya mjini Daslamu siku hiziHuyu mama ni nani mjini
Huu mji kweli ni mkubwa mno aiseeIlo ni lishangazi ndo mambo ya mjini Daslamu siku hizi
Mkuu ndo maana nkaandika sina uhakika kuhuau hiyo barJames siyo mmiliki wa escape one
Sema kabla ya pale kwao kumbuka kuna aliwekeza ile bar ya safari carnival,kusaga naye akaja akawekeza escape na nani sjui 255
James na mke wake ndy walikuwa wanamiliki duka la nguo hapo kwao nje na ukipita unaliona
Ova
Ngoja Kimange aone ulichoandikaMla raha mjini kijana wa miaka hiyoo rika la akina linda kimesera, mboni masimba na akina mange kimambi
Mke yupi?.mishy ni business partner wakeJames siyo mmiliki wa escape one
Sema kabla ya pale kwao kumbuka kuna aliwekeza ile bar ya safari carnival,kusaga naye akaja akawekeza escape na nani sjui 255
James na mke wake ndy walikuwa wanamiliki duka la nguo hapo kwao nje na ukipita unaliona
Ova