Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Mimi nawapa tu tahadhari mboga mboga kwamba mpaka sasa mnazoziona ni rasharasha tu, mvua za vuli bado na msizimie mkisikia mtu kaweka mpira kwapani na kuinua mikono.
Huyu sijui atakimbilia wapi kwani majirani wote hawamtaki isipokuwa labda yule wa Burundi. Mtoto akililia wembe mpe umkate pale pale na akililia moto mpe umchome pale pale...si kalilia mwenyewe?
Huyu sijui atakimbilia wapi kwani majirani wote hawamtaki isipokuwa labda yule wa Burundi. Mtoto akililia wembe mpe umkate pale pale na akililia moto mpe umchome pale pale...si kalilia mwenyewe?