mwenye ka video jamani atupie hapa kidogo!!?
Dodoma, Pwani na Tanga. Tatizo Tanga nao wamelala sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenye ka video jamani atupie hapa kidogo!!?
Hamna uwezo huoMkiiba kura mwaka huu tunaitia kiberiti nchi yetu nzuri kwa mikono yetu wenyewe kumbuka mvunja nchi ni mwananchi. Msijaribu.
Bado tunamlabua vilivyo kwenye sanduku.haya maandamano ya usiku jiwe hatapata usingizi maana anawaza siku Lissu akikataa matokeo ya uongo itakuwaje.
mi namshauri auze ndege moja awarudishie machinga hela zao kabla ya uchaguzi itasaidia kupunguza hasira za wapiga kura.
Tumepata mchomoa battery ebeni kura muone makalio ya kukuHamna uwezo huo
Tarime ni MKESHASina la kusema nimepata mzuka ccm kaeni mbali tusije onana wabaya
Mungu awape kila la kheri hakuna linalo shindikana tukiamua kwa pamojaTarime ni MKESHA
Kaah wapi hii mkuu? Hahahaha!!View attachment 1581028
Jamani, kweli CCM imechokwa...!
Hizi video Magu akiziona atatamani achome moto zile ndegeCCM bai bai! Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha...
Tarime ni MKESHA
Umenifanya nicheke kwa sauti usiku huu🤣🤣🤣🤣Kila siku ccm wanaona afadhali ya jana!
Ni kama vile kuna mtu alisukumiziwa uongozi ili mwisho wa CCM ufike haraka! Miaka 100 aliyotabiri Nape Nnauye ni mingi mno hivyo lazima ikatishwe!CCM bai bai! Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha...
Hawa majamaa kama wamepoteana vile mapema wakati mechi hata haijafika half time , kila siku wanashambuliwa wao wametepeta pamoja na media zote kuzilazimisha ziwafanyie promo,hii karne ya 21 wananchi wamesoma hadi vijijini hawadanganywi kwa propaganda za kwenye tv na redio watu wanaangalia real lifeHizi video Magu akiziona atatamani achome moto zile ndege