Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Hawa majamaa kama wamepoteana vile mapema wakati mechi hata haijafika half time , kila siku wanashambuliwa wao wametepeta pamoja na media zote kuzilazimisha ziwafanyie promo,hii karne ya 21 wananchi wamesoma hadi vijijini hawadanganywi kwa propaganda za kwenye tv na redio watu wanaangalia real life
Magufuli ana roho ya kukataliwa! Hebu ona rafu zote za miaka 5, airtime ya kutosha na bado now anajitangaza utafikiri ndo mara ya kwanza kugombea!!
 
Nyieeeeee Mwanza!

Shauri yenu[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20200926_001308.jpeg
 
CCM LAZIMA TUMTAFUTE ALIYETUDANGANYA KUWA CHADEMA IMEKUFA TUKAJISAHAU NAONA KAMA CCM INAENDA KUWA CHAMA CHA UPINZANI NASISI LUZUKU ZITAKUWA HAZITOSHI LAZIMA TUTAFUTANE

Mkuu tumeapizana kuwa yoyote aliyeshiriki kutufikisha hapa lazima tumuonyeshe rangi zetu halisi tarehe 28 October. Ametucost sana mtu huyo na genge lake.
 
Hana mabango, hatembei na wasanii, hafungi shule wanafunzi waje, hatishii watumishi wa serikali waje, hajajenga flyover, wala railways, wala kununua ndege.

Lakini MAELFU WANAMFUATA.

LISSU ANAKERA JAMANI?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Hata Mimi ningepata HEARTATTACK !!!

Mimi ningekuwa Jiwe sijui wangeniokotea wapi! Amejitahidi kujikaza.. Lissu hawezekaniki, huo ndio ukweli.
 
Professor Magufuli promised the opposition will die out by 2020 (and worked so hard to achieve it).

Result? It doubled.

I now understand why he says these large crowds are "fake". You can't spend 5 yrs repressing people's basic freedoms and still expect to win their hearts and minds or else you are so dumb
Mkuu hii kauli aliitoa lini?
Ahahaha,dah
 
Back
Top Bottom