Ungeandika kwa kiswahili maana pale Lumumba watahangaika kutafuta dictionary, aliyesema " siku ya kufa nyani mti yote huteleza aliona" mbaliProfessor Magufuli promised the opposition will die out by 2020 (and worked so hard to achieve it).
Result? It doubled.
I now understand why he says these large crowds are "fake". You can't spend 5 yrs repressing people's basic freedoms and still expect to win their hearts and minds or else you are so dumb
Hana mabango, hatembei na wasanii, hafungi shule wanafunzi waje, hatishii watumishi wa serikali waje, hajajenga flyover, wala railways, wala kununua ndege.NEC wana taman waseme TL ana fanya kampeni usiku kiinyume cha ratiba
SUBIRI KIDOGO
Magufuli this time anajuta sana maana hiki kinachotokea leo ni mbegu alizopanda!!Mimi nawapa tu tahadhari mboga mboga kwamba mpaka sasa mnazoziona ni rasharasha tu, mvua za vuli bado na msizimie mkisikia mtu kaweka mpira kwapani na kuinua mikono.
Huyu sijui atakimbilia wapi kwani majirani wote hawamtaki isipokuwa labda yule wa Burundi. Mtoto akililia wembe mpe umkate pale pale na akililia moto mpe umchome pale pale...si kalilia mwenyewe?
Kuna clip Afande kafurahi yupo pamoja na watu anampungia mkono Lissu.CCM wenyewe kwa sasa wameanza kumshangilia Lissu maana hakuna namna. Hadi polisi wanaogopa kurusha tear gas!
Nimesikia yule mgombea wa CCM Nyamagana anamtuhumu Pambalu kwa uchawi kisa hapati Nyomi!!Huko Mara Watavunja Rekodi ya Tanzania.
Ila kila Siku Lissu anaongeza idadi ya wahudhuriaji kuna uchawi gani?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] Ndio maana wanatumia wasanii.Nimesikia yule mgombea wa CCM Nyamagana anamtuhumu Pambalu kwa uchawi kisa hapati Nyomi!!
Mwanzo watu bado hawakuelewa somo la Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu. "Sasa sasa sasa" mwl alipogundua hilo na kuanza kufundisha hiyo topic na ikawaingia wanafunzi vilivyo ndo matokeo unayoyaona wanafunzi darasa karibia lote wanaelewa somo. Ndo maana kila kukicha maudhurio yanavunja rekodi kila leo.Huko Mara Watavunja Rekodi ya Tanzania.
Ila kila Siku Lissu anaongeza idadi ya wahudhuriaji kuna uchawi gani?[emoji23][emoji23]
Kuna clip Afande kafurahi yupo pamoja na watu anampungia mkono Lissu.
Ni kwasababu Lissu anatetea Maslahi yao ya kuongezewa mishahara.
Hakuna namna MTETEZI WETU MUNGU KAMTUMAAisee, hadi polisi watamshangilia tu maana ndo mtetezi waliebaki nae.
Cdm wakipiga Mwanza vizuri, Dar, Mbeya na kusini, Magufuli arudi kupumzika Chato tu
Jamani Mwanza ya wap??? Hebu tuwekee hata clip moja ya maadamano hao tofaut na wahuni wachache mliowanunulia konyangi,,, Mwanza tushamaliza uchaguz zamani sana ni jpmHiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]
Siandiki waraka hapa.
Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.
Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii imefanya mambo makubwa.
Sasa kwa hali hii ya Leo inaonesha watu kutaka mabadiliko ambayo wapo tayari kufanya chochote ili hali HAKI inatendeka.
Ila Mwanza HAPANA[emoji23][emoji23][emoji23] Mtaua wazee wa watu.
View attachment 1580967