Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Mwaka huu ni yao kuisoma namba
 
Ameen ameen
 
Sawa
 

Attachments

  • FB_IMG_1601060338264.jpg
    18.3 KB · Views: 1
Pale Genge la nyumbu linapokaa chini ya miundo mbinu mizuri iliyojengwa na ccm wakitiana ujinga.
 
Narudia kusema kuna watu humu baada ya tarehe 28/10/2020 watakufa kwa presha .

Nyie endeleeni kujipa matumaini hewa.
 
Hakuna lolote tumempata mchomoa battery waibe waone hatuna muda tena na tume huru itajitengeneza yenyewe hakuna njia za kuqminisha tena huo ujinga!
 
Sijutii kumkubali Lissu. Huyu ndiye aliye na upako.

Rais wetu sasa ni Tundu Lissu.
Ni kweli.

Wananchi tukiamua bhana hakuna kitu kinaweza kukwamisha.
 
Hili shangwe wangepata ccm, wangelipa hata CNN ionyeshe dunia. Surprisingly Lake zone is the Tundu Lissu strong hold.
Watanzania wenye akili timamu ni wengi sana. Watanzania wasio na akili timamu ni wachache sana. Sioni Mtanzania mwenye akili timamu atakayempigia kura Magufuli. Never

Ukiwa na akili timamu lazima umuelewe na umchague Tundu Antiphas Lissu!! Hii ni tunu kweli tiliyopewa na Mungu!
 
Chief huyo jamaa ni muujiza unaotembea, yani hii inajidhihirisha kwamba Mungu kweli yupo, 16 Bullet lakini u hai.
Haijawahi kutokea Dunia nzima mkuu.

Watu hawajui tu katika ulimwengu wa roho lissu kabeba maono makubwa na hakuna nguvu inaweza mshinda kamwe.

Tusuburi.

Ccm wa buku saba siwaoni hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namuelewa sana Mtumishi wa Mungu Mwingira. Tundu Antiphas Lissu ni Mshindi. Huwezi shindana na mtu aliyeshindiwa vita ná Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…