Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..mitiUngeandika kwa kiswahili maana pale Lumumba watahangaika kutafuta dictionary, aliyesema " siku ya kufa nyani mti yote huteleza aliona" mbali
CCM itashinda kwa kishindo hamtaaminiHivi ikiwa wasukuma wenzake tu wa mwanza hawamtaki jiwe.
je jiwe linaweza kuchaguliwa na nani?
Nimekuelewa sana, ni kweli kwa tume hii ya uchaguzi ya CCM......!!!Anaepiga kura siye amtangazae rais
A European not an EuropeanAre you an European by the way?
Dah mpango wao watatangazia Dodoma kwenye ngome yao.This time kuna watangaza matokeo watakufa muda huo huo wakishatangaza tu
Hao ni wana Chadema na vibaka wanaokwenda kumtafuta Lissu usiku, mbona huko mitaani watu walikuwa wanaendelea na mambo yao tu wala hawana habari na huyo Lissu. Natamani kampeni ziishe hata leo ili tupige kura maana uamuzi tulishaufanya siku nyingi hata kabla ya kuraHiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]
Siandiki waraka hapa.
Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.
Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii imefanya mambo makubwa.
Sasa kwa hali hii ya Leo inaonesha watu kutaka mabadiliko ambayo wapo tayari kufanya chochote ili hali HAKI inatendeka.
Ila Mwanza HAPANA[emoji23][emoji23][emoji23] Mtaua wazee wa watu.
View attachment 1580967
Mheshimiwa Rais mteule Tundu Lissu ameshasema hawa vidomo domo tunamalizana nao mababaraniNamukipindua matokeo nchi haitawaliki tena tuna anza na nyinyi kwanza
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Point of Correction Magufuli sio msukuma ila anajua kuongea kisukuma na lugha kadhaa za kanda ya ziwa.Hivi ikiwa wasukuma wenzake tu wa mwanza hawamtaki jiwe.
je jiwe linaweza kuchaguliwa na nani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hao ni wana Chadema na vibaka wanaokwenda kumtafuta Lissu usiku, mbona huko mitaani watu walikuwa wanaendelea na mambo yao tu wala hawana habari na huyo Lissu. Natamani kampeni ziishe hata leo ili tupige kura maana uamuzi tulishaufanya siku nyingi hata kabla ya kura
Fuatili clips za mikutano yake ya week utamsikia akiongea utopolo wakeMkuu hii kauli aliitoa lini?
Ahahaha,dah
Sure kabisa huwa watu wa mkoa wa TANGA hawaeleweki wanachelewa Sana kujitambuaHata mkoa wa Tanga nao ni wa kuhurumia kabisa kwani sijui wamepatwa na nini hadi kuingia kwenye mikoa yenye udumavu wa akili kama Dodoma, Tabora kwa kutopenda kubadilika
Hahahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa
Mtaongea yote mwaka huuuuHao ni wana Chadema na vibaka wanaokwenda kumtafuta Lissu usiku, mbona huko mitaani watu walikuwa wanaendelea na mambo yao tu wala hawana habari na huyo Lissu. Natamani kampeni ziishe hata leo ili tupige kura maana uamuzi tulishaufanya siku nyingi hata kabla ya kura
Wakisikia Chadema tunasema Peopleeeeeee's poweeeeeeeer huwa wanadhani tunatania.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mliimba wacha waisome namba wee!
Sasa namba mnaisoma CCM.
Achana na nguvu ya watu wakiamua jambo NOBODY CAN STOP THEM.