Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapendwa au watu wanataka kuangalia mtu aliyepigwa risasi??Tuache utani Lissu anapendwa kuliko.
Mwingira anasema, "I DON'T UNDERSTAND THIS"
Sent from my TECNO WX3P using JamiiForums mobile app
Machadema mnajidanganya mchana kweupe!!! subirini sanduku la kura ndio mtawajua watanzaniaCCM LAZIMA TUMTAFUTE ALIYETUDANGANYA KUWA CHADEMA IMEKUFA TUKAJISAHAU NAONA KAMA CCM INAENDA KUWA CHAMA CHA UPINZANI NASISI LUZUKU ZITAKUWA HAZITOSHI LAZIMA TUTAFUTANE
Ccm tunajiandaa kisaikojia kuwa chama cha upinzaniMachadema mnajidanganya mchana kweupe!!! subirini sanduku la kura ndio mtawajua watanzania
Ninakubaliana na Waziri mkuu, . . Urais si mchezo, unahitaji mtu;Unadhani kila mtu ni aidha chadema au ccm,!!.. wengine sie watazamaji tu, sababu twajua uchaguzi ni maigizo ya kweli ili kuridhisha wakubwa tusikose mikopo na misaada, ndiyo maana hakuna tume huru
KabisaKwasasa amekuwa malaya wa kisiasa.
[emoji23][emoji23] Kwani si mlisema nyomi zote za lissu ni 2015?Anapendwa au watu wanataka kuangalia mtu aliyepigwa risasi??
NI YEYE TUNDU LISSU TU.Ninakubaliana na Waziri mkuu, . . Urais si mchezo, unahitaji mtu;
Makini,
Msomi,
Muelewa,
Mwenye busara,
Mwenye Utu,
Mtanzania mzalendo;
Anayetambua Urais ni Taasisi na si mtu binafsi! . . Katika Uchaguzi huu mtu huyo ni Tundu Lissu!!
Bangi mbaya kweli aisee?Jamani Mwanza ya wap??? Hebu tuwekee hata clip moja ya maadamano hao tofaut na wahuni wachache mliowanunulia konyangi,,, Mwanza tushamaliza uchaguz zamani sana ni jpm
Ndio huko mkuu.Jamani nimeogopa huku ni Mwanza ambako mheshimiwa rais aliwaambia wasukuma kuwa wao hawatabomolewa nyumba kwa upanuzi wa kiwanja cha ndege huku Kimara wanalia na kusaga meno baada ya kubomolewa nyumba?
Hebi iandike kwa kiingereza Kama inafaa kuwa jina la movie.Risasi 16 mpaka ikulu
Atakuwa ni mataga.Naongelea kupiga kura. Wazee haturuhusiwi kumpigia Lissu kura ama unaongelea nini?
Mpaka mda huu binafsi nimemuweka mzee wangu IGP katika maombi ,ni kiongozi mzuri ,japo wanamchanganya,na mungu atamvusha salama,kwa Sasa tume ndo ya kuokoa taifa hili, tulipofika hapa ni nchi Kwanza vyama badae mshindi halali kwa Kura halali atangazwe tu mda ukifika na ichi ndo kibarua kimebaki japo mpaka Sasa mungu kwa upendo wake mkuu na tz kaisha tuvusha mengi,
🙏🙏Takbirr
Allah Akbar
Inn shaa Allah Mara hii tunakwenda kupata rais muadilifu ambae hata watesa mashekh wetu na watanzania kwa ujumla
Ewe Mola wa haki tunakuomba umlinde huyu kiongozi wetu muadilifu dhidi ya yule katili Pombe na genge lake
Ewe Mola wa maajabu onyesha maajabu safari hii lissu ashinde dhidi ya yule katili Pombe
Tumechoka kutawaliwa na dikteta
We can't breathe
Naona wengi tunaandika hisia zetu na ndoto, pamoja na matamanio yetu humu ndani,CCM wenyewe kwa sasa wameanza kumshangilia Lissu maana hakuna namna. Hadi polisi wanaogopa kurusha tear gas!
Mkuu wangu hacha maneno Kama haya kabisa,acha ,acha akuna anaetaka tufike uko, mkuu ,acha acha kabisaHamna uwezo huo
Saizi Watanzania wanatumia akili hivyo vya imani ndio vinatuletea umaskini.Nyie hamuwajui Watanzania mnadanganywa na mihemko ya kisiasa ya kikundi cha watu,sasa ngojeeni October 28 ndio mtajua hamjui Watanzania walivyo.
Watanzania wanaimani kubwa na CCM na hii haitafutika hivi karibuni.
Yaani u mnyonge hadi unasikitisha
Uzi kama huu huwaoni, wanapita kimya kimyaHaijawahi kutokea Dunia nzima mkuu.
Watu hawajui tu katika ulimwengu wa roho lissu kabeba maono makubwa na hakuna nguvu inaweza mshinda kamwe.
Tusuburi.
Ccm wa buku saba siwaoni hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu ila jua mungu ni fundiNi dhahiri ujio wa Tundu Lissu umebadili upepo wa kisiasa, Mihemko ni jambo la kawaida kwenye nyakati kama hizi, Mwaka 2015 tuliona watu wakideki barabara kwa ajili ya Mheshimiwa Lowassa ila matokeo ya uchaguzi yalikuwa tofauti na matarajio ya wengi, Naimani wapinzani walijifunza na uzuri bado muda upo wa kurekebisha makosa na kuzingatia ushauri wa mheshimiwa membe aliotoa siku ile pale airport, huwezi kuiondoa CCM kwa kutegemea tu ukubwa wa mikutano ya majukwaani, inahitajika mikakati madhubuti kwenye ngazi za vitongoji, vijiji, kata hadi halmashauri ili upinzani ushinde uchaguzi, ni vizuri ikumbukwe tume iliyopo sio huru na dalili za kuwepo kwa upendeleo kwa chama tawala zimeshaonekana kwenye mchakato wa uchaguzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app