stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Nani yupo interested na huyo?
Hivi napata wapi muda wa kukaa na kusikiliza MTU aliyeharibu hali ya Masiha na kuharibu mfumo mzima wa utawala?
Lissu namsikiliza hadi mwisho na sitaki hata amalize jinsi anavyotupa darasa murua.
SASA BASI.
NI YEYE TU 28 OCT.
Sent from my TECNO WX3P using JamiiForums mobile app
kwa maelezo haya mchache tayar nshajua wewe ni mwajiriwa, alafu your a life looser na hauna direction ya maisha! that easy
juzi anasema mazao kua mengi sio maendeleo, WTF is going on!!