Ukitaka hata picha unapata [emoji116]Utakuwa msukuma. Ushamba ni jadi yenu.
Mfano, Nyamagana...uki toa barabara ya zawadi ya Nagufuli kwa SAUT 2005. Haina barabara ya mtaa. Kuna km sijui 4 alizo jipendelea mbunge Stanslaus Mabula kwa kujenga kwenda nyumbani kwake...stendi ya Nyegezi Juu.
Then, kuna uchafu ulio jengwa mkolani kwenda Nyahingi mita 400. Then, kuna uchafu wa mita 400 Buhongwa to Bulale. Taja lami ya Halmshauri ya Nyamagana ndani hata ya miaka 15 iliyo pita. Ndio uone ni Jiji la hivyo.
Hahaaa mi mwanza nimewahi fika mara moja tu but najua hizo ulizotaja ndio main roads sasa nashangaa mtu analinganisha musoma na mwanzaHuna shule ya Main Road. Kasome. Mwanza Main Roads ni 2 tu. Natta to Musoma. Na Mwanza to Shinyanga.
Kumbe hamna mtu hapa[emoji3][emoji3]
Atakuwa amekuelewa mkuu!! Akizidi kuleta ujinga itabidi niingilie na mimi sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa umejaa chuki musoma inamtandao mkubwa wa rami kuzidi mwanza
Musoma ipi hii ya machinjion,nyasho,kariakoo,nyakato airport hadi kule tembo[emoji1787]
Hivi mwanza unaijua au ulikuja kwa shemeji yako siku mbili tatu
Unaujua umbali wa kutoka kanyama-buhongwa
Buhongwa-airport
Nyegezi-luchelele
Mjin-igelegele
Mjin-nyashana
Mjini-bugando
Mjini-mji mwema
Mji mwema-kiloleni
Mjini-buswelu
Mjini-kahama
Mjini-ibanda
Mjini-nyasaka
Mjini-nyasaka ppf
Mjini-nyamadoke
Sabasaba-buswelu
Iloganzara-bwiru
Mjini-bwiru
Kona ya bwiru-kitangiri
Kitangiri-ibanda
Ibanda-mihama
Jiwe kuu-bwiru
Sabasaba-Ilemela-tunza-malaika hadi kona ya igombe
Buzuruga-mwananchi
Buzuruga-shule-nyasaka-maduka tisa-kiloleni-bigbite-kilimahewa hadi kona ya bwiru
Nyakato-Bismarck
Nyakato sokoni-mecco hadi Buzuruga shule
Nyegezi-majengo mapya
Mission-magomeni-kitangiri
Hapa nimekujibu kiufundi zaidi, ulivyoiweka musoma juu ya mwanza nimekuona wewe ni wakuja[emoji1]
Nimetaka kusahau hapo voil kuna njia ya kuzunguka inaanzia pale pepsi-igogo-mchafu kuoga hadi voil bila kusahu mkuyuni hadi butimba
Kama huu Mtandao wa barabara ya lami ni mdogo kwa musoma[emoji1787][emoji1787] na hayo majiji makubwa ya Tanzania yaani tanga,arusha,mbeya na dodoma basi utakua na chuki sio bure
Ukikohoa narudia
Uki fanya analysis ya square mita za lami za Mji wa Musoma Town na Revenue Collection ya Musoma Vs Square mita za lami za mitaa Mwanza na Revenue Collection ya Mwanza na uki linganisha ubora wa barabara zao. Musoma are much better than Mwanza. Shinyanga Road na Musoma Road. Siyo za Jiji la Mwanza hizo ziko chini ya Wizara ya Ujenzi usi zihesabu. Uta ona how hopeless the City is.Ukitaka hata picha unapata [emoji116]View attachment 2595563View attachment 2595568View attachment 2595570
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni muongo kabisal!!Mwanza Kwenye Barabara Imesahaulika Hadi Inatia Huruma, mfano ukiwa unatoka Shinyanga ukifika mpakani mwa Shinyanga na Mwanza baaaasi hadi rangi ya barabara inabadilika
Mwanza ina barabara mbovu pengine kuliko majiji yote Tanzania.
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Tanga kuna lami za mitaa nyingi tu sku izi ,msambweni,sahare,donge,magomeni,chumbageni, nguvumali,mikanjuni,Toa mfano wa hizo barabara za mitaa kwenye majiji mengine ya Tanzania [emoji1787]
Arusha,dodoma,tanga na mbeya nipo hapa nimekaa
Juu ya milima ndiko tanki za maji ina paswa zikae. Zimwage maji chini. Kwa technolojia ya karne hii ya 21 hakuna sababu kama hiyo.Ufinyu wa barabara ni tatizo kubwa mwanza,tatizo la maji nadhani linachangiwa na jiografia ya milima wenzenú wa shinýanga ile tambarare inawabeba sana
Kwa hyo hapo nani kasema ni Nyerere road au shy road....Uki fanya analysis ya square mita za lami za Mji wa Musoma Town na Revenue Collection ya Musoma Vs Square mita za lami za mitaa Mwanza na Revenue Collection ya Mwanza na uki linganisha ubora wa barabara zao. Musoma are much better than Mwanza. Shinyanga Road na Musoma Road. Siyo za Jiji la Mwanza hizo ziko chini ya Wizara ya Ujenzi usi zihesabu. Uta ona how hopeless the City is.
Wala sikulazimishi kuamini, hata singida ina main road nzuri kuzidi main roads zote za Mwanza (Musoma na Shinyanga roads)Wewe ni muongo kabisal!!
Kaka usijisumbue kubishana nao....Hapo kuna barabara kibao tu hujazitaja ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa umejaa chuki musoma inamtandao mkubwa wa rami kuzidi mwanza
Musoma ipi hii ya machinjion,nyasho,kariakoo,nyakato airport hadi kule tembo[emoji1787]
Hivi mwanza unaijua au ulikuja kwa shemeji yako siku mbili tatu
Unaujua umbali wa kutoka kanyama-buhongwa
Buhongwa-airport
Nyegezi-luchelele
Mjin-igelegele
Mjin-nyashana
Mjini-bugando
Mjini-mji mwema
Mji mwema-kiloleni
Mjini-buswelu
Mjini-kahama
Mjini-ibanda
Mjini-nyasaka
Mjini-nyasaka ppf
Mjini-nyamadoke
Sabasaba-buswelu
Iloganzara-bwiru
Mjini-bwiru
Kona ya bwiru-kitangiri
Kitangiri-ibanda
Ibanda-mihama
Jiwe kuu-bwiru
Sabasaba-Ilemela-tunza-malaika hadi kona ya igombe
Buzuruga-mwananchi
Buzuruga-shule-nyasaka-maduka tisa-kiloleni-bigbite-kilimahewa hadi kona ya bwiru
Nyakato-Bismarck
Nyakato sokoni-mecco hadi Buzuruga shule
Nyegezi-majengo mapya
Mission-magomeni-kitangiri
Hapa nimekujibu kiufundi zaidi, ulivyoiweka musoma juu ya mwanza nimekuona wewe ni wakuja[emoji1]
Nimetaka kusahau hapo voil kuna njia ya kuzunguka inaanzia pale pepsi-igogo-mchafu kuoga hadi voil bila kusahu mkuyuni hadi butimba
Kama huu Mtandao wa barabara ya lami ni mdogo kwa musoma[emoji1787][emoji1787] na hayo majiji makubwa ya Tanzania yaani tanga,arusha,mbeya na dodoma basi utakua na chuki sio bure
Ukikohoa narudia
Huo ndio ukweli.Wala sikulazimishi kuamini, hata singida ina main road nzuri kuzidi main roads zote za Mwanza (Musoma na Shinyanga roads)
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
HowMwanza ni jiji la 4, jiji la 2 ni Dodoma acha kujidanganya.
Ukizungumzia metropolitan area of mwanza ni wilaya za nyamagana na ilemela au unaweza kusema manispaa za ilemela na nyamaganaAcheni ushamba jiji la Mwanza halina wilaya, nendeni hata shule mkapate elimu ya uraia, nchi hii wajinga wengi wengi ila wabishi wakijifanya wanajua. Mkoa wa Mwanza ndio wenye wilaya kama Nyamagana, Ilemela na zingine jiji halina wilaya jiji ni jiji tu. Ila kwa Mkoa wa Mwanza jiji la Mwanza liko ndani ya wilaya ya Nyamagana km jiji la DSM lilivyo ndani ya wilaya ya Ilala. Msitulete kichefuchefu huku.
Ondoa barabara zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi. Ondoa misaada 2 (SAUT Road 2005 Magufuli, na Nella to Airport pesa za Uhuru-Magufuli).Kwa hyo hapo nani kasema ni Nyerere road au shy road....
Jiji la Mwanza Lina km square 400..
mtandao wa barabara za lami ni km 100.kwa barabara za mitaa na km 45 main road...
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza ukiacha barabara mbovu is the most dark city nchini [emoji1][emoji1] barabara kuu zote taa hazifanyi kaziHuo ndio ukweli.
Tena ile main Road ya Mwanza..kuanzia NELA hadi Airport siyo pesa za Jiji. Bali Magufuli alichukua hela za Watanzania wote za sherehe za Uhuru na kuzipeleka kujenga hiyo barabara. Jiji kama jiji na TANROADS Mwanza ni mchwa wa kula hela tu. Hakuna wanachofanya.
wew acha zako . jukumu la ujenzi wa barabara magufuli aliondoa halmashauri..sa hv ni TARURA na TANROADS .. halmashauri wanafund pesa kiasi TARURA....Ondoa barabara zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi. Ondoa misaada 2 (SAUT Road 2005 Magufuli, na Nella to Airport pesa za Uhuru-Magufuli).
Kumbe hizi hazifanyi kazi ..Mara ya mwisho kwenda mwanza ilikuwa Lin kakaMwanza ukiacha barabara mbovu is the most dark city nchini [emoji1][emoji1] barabara kuu zote taa hazifanyi kazi
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app