Pre GE2025 Jiji la Tanga limepitisha rasimu ya bajeti ya Tsh. bilioni 25 kwa mwaka wa fedha 2025/2026

Pre GE2025 Jiji la Tanga limepitisha rasimu ya bajeti ya Tsh. bilioni 25 kwa mwaka wa fedha 2025/2026

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Jiji la Tanga limepitisha rasimu ya bajeti ya Tsh. bilioni 25 kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa ni ongezeko la asilimia 19.491 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2023/2024, ambayo ilikadiriwa kukusanya Tsh. bilioni 21 kutoka mapato ya ndani.

Akizungumza wakati wa kufunga baraza hilo, Mwenyekiti na Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Ndugu Abdul-Rahman Shiloo, amesema kuwa katika mwaka wa fedha uliopita, baraza lilipanga kukusanya Tsh. bilioni 78, na kwa mwaka huu wa fedha 2025/2026, lengo limeongezeka hadi Tsh. bilioni 83, sawa na ongezeko la asilimia 3.2.

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Baadhi ya madiwani wamesema imani yao kwa bajeti hiyo, kuwa italeta maendeleo katika Jiji la Tanga. ikiwa ni pamoja na kubainisha , kuwa asilimia 40 ya mapato hayo yataelekezwa moja kwa moja kwenye miradi ya maendeleo ya wananchi, jambo linalotarajiwa kuboresha maisha ya wakazi wa jiji hilo.

 
Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Jiji la Tanga limepitisha rasimu ya bajeti ya Tsh. bilioni 25 kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa ni ongezeko la asilimia 19.491 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2023/2024, ambayo ilikadiriwa kukusanya Tsh. bilioni 21 kutoka mapato ya ndani.

Akizungumza wakati wa kufunga baraza hilo, Mwenyekiti na Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Ndugu Abdul-Rahman Shiloo, amesema kuwa katika mwaka wa fedha uliopita, baraza lilipanga kukusanya Tsh. bilioni 78, na kwa mwaka huu wa fedha 2025/2026, lengo limeongezeka hadi Tsh. bilioni 83, sawa na ongezeko la asilimia 3.2.

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Baadhi ya madiwani wamesema imani yao kwa bajeti hiyo, kuwa italeta maendeleo katika Jiji la Tanga. ikiwa ni pamoja na kubainisha , kuwa asilimia 40 ya mapato hayo yataelekezwa moja kwa moja kwenye miradi ya maendeleo ya wananchi, jambo linalotarajiwa kuboresha maisha ya wakazi wa jiji hilo.

View attachment 3238250
Tanga ikusanye Mapato ya ndani Bilioni 25 wayatoe wapi? Ngoja tuone
 
Mzee una muda gani hujaenda Tanga? Na kama ulienda uliona bandari ya Tanga kwasasa ilivyo na movements?
ile bandari hivi sasa inahudumu meli nyingi sana.
Jiji la Tanga linanufaikaje na transit goods?

Bandari ni chanzo Cha Fedha za TRA na sio Mapato ya ndani ya Jiji.
 
Jiji la Tanga linanufaikaje na transit goods?

Bandari ni chanzo Cha Fedha za TRA na sio Mapato ya ndani ya Jiji.
1000018200.jpg
 
Wewe ndio huelwi pinguza ubishi , mapato ya Tanga nimekuambia angalia tu bandari ,je,unajua zile tril. 13 .5 hapo Dar bandari inachangia shilingi ngapi?
Huelewi unachoongea unakurupuka.Rudi Ikasome upya mada
 
Unaweza kutafuta hizo figure kupitia hii miongozo michache
View attachment 3238445



View attachment 3238447


View attachment 3238446
Wewe ndio huelewi umeandikw nn.
Mna akili fupi kama kuku yaani hakuna kitu mnaelewa licha ya kujifanya ni makada.

Nawapa somo ,mada inazungumzia Bajeti ya Jiji la Tanga Kutokana na vyanzo vya Mapato ya ndani (own source) na sio Mapato ya Mkoa wa Tanga kutoka taasisi zingine mfano TRA,Mamlaka ya Bandari nk.

Maelezo Yao ni kwamba kutoka own source wanakusudia kukusanya 25bln na Fedha zingine zitakuwa ruzuku kutoka Serikali kuu ndio itafanya hiyo Bajeti nzima. On other way nazungumzia kitu hiki hapa Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

Swali langu ni kwamba,Je Tanga Jiji wana source za kuweza kupata Mapato ya ndani 25bln.?

Ili tujue kama wanazo waweke hapa Mapato ya mwaka 2023/2024 tuone kama walifikisha target ya 21bln waliyojiwekea.
 
Mna akili fupi kama kuku yaani hakuna kitu mnaelewa licha ya kujifanya ni makada.

Nawapa somo ,mada inazungumzia Bajeti ya Jiji la Tanga Kutokana na vyanzo vya Mapato ya ndani (own source) na sio Mapato ya Mkoa wa Tanga kutoka taasisi zingine mfano TRA,Mamlaka ya Bandari nk.

Maelezo Yao ni kwamba kutoka own source wanakusudia kukusanya 25bln na Fedha zingine zitakuwa ruzuku kutoka Serikali kuu ndio itafanya hiyo Bajeti nzima. On other way nazungumzia kitu hiki hapa Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

Swali langu ni kwamba,Je Tanga Jiji wana source za kuweza kupata Mapato ya ndani 25bln.?

Ili tujue kama wanazo waweke hapa Mapato ya mwaka 2023/2024 tuone kama walifikisha target ya 21bln waliyojiwekea.
Vyanzo vya mapato ni nini?

Umeuliza vyanzo vya mapato umewekewa.

Hiyo link yako imekuonesha walikusanya zaidi ya 17B karibia 18B, sasa kama waliweza kufika hapo kwanini Washindwe kuwa na makisio ya 25B?
 
Back
Top Bottom