OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hapo kuna fungu lao la kula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rekebisha sio makusanyo ya mkoa ni makusanyo ya Halmashaur ya JIJi👃👃Swali rahisi mmeulizwa, Bil 25 kupitia vyanzo vipi vya ndani?
Mmeambiwa makusanyo ya Bandari ni mapato ya TRA sio makusanyo ya ndani.
Bandari kuwa busy kumestimulate biashara nyingi na kuongeza mzunguko labda hapo Halmashauri ndipo wanapookota.
Uwepo wa makampuni mengi yanayohusika na bomba la mafuta yamaeongezq nayo mzunguko na kuleta tozo nyingi.
Inawezekana pia kile kiwanda cha wachina pale nacho kimeongeza mzunguko nakuleta chachu kwenye makusanyo yao.
Uwepo wa viwanda vingine vya cement Tanga cement na kile kidogo pale juu labda na vyenyewe vinachangia.
Kwangu mimi Bil25 ni hela ndogo sana kujisifia kwenye makusanyo ya mkoa ambao uko na border na nchi nyingine, uko na bandari nk
Hizo bil 25 bado nyingine hazijapigwa hapo na wahuni.
Baadala ya kukaa vikao na kunywa chai waaanze kuumiza vichwa nini wafanye mkoa walau ukusanye 1trilioni Kwa mwaka.
Ndio Maana nimekwambia hawana huo uwezo wa kupata Bilioni 25Vyanzo vya mapato ni nini?
Umeuliza vyanzo vya mapato umewekewa.
Hiyo link yako imekuonesha walikusanya zaidi ya 17B karibia 18B, sasa kama waliweza kufika hapo kwanini Washindwe kuwa na makisio ya 25B?
Nimewauliza pia ,walete evidence ya kuonesha walifikisha target ya 21bln ya mwaka 2023/2024 Ili iuine kama wanaweza fikisha 25bln hakuna aliyeleta wanapiga blaa blaa tuu 😁😁Swali rahisi mmeulizwa, Bil 25 kupitia vyanzo vipi vya ndani?
Mmeambiwa makusanyo ya Bandari ni mapato ya TRA sio makusanyo ya ndani.
Bandari kuwa busy kumestimulate biashara nyingi na kuongeza mzunguko labda hapo Halmashauri ndipo wanapookota.
Uwepo wa makampuni mengi yanayohusika na bomba la mafuta yamaeongezq nayo mzunguko na kuleta tozo nyingi.
Inawezekana pia kile kiwanda cha wachina pale nacho kimeongeza mzunguko nakuleta chachu kwenye makusanyo yao.
Uwepo wa viwanda vingine vya cement Tanga cement na kile kidogo pale juu labda na vyenyewe vinachangia.
Kwangu mimi Bil25 ni hela ndogo sana kujisifia kwenye makusanyo ya mkoa ambao uko na border na nchi nyingine, uko na bandari nk
Hizo bil 25 bado nyingine hazijapigwa hapo na wahuni.
Baadala ya kukaa vikao na kunywa chai waaanze kuumiza vichwa nini wafanye mkoa walau ukusanye 1trilioni Kwa mwaka.
Unnecessary porojo,leta figures za 2023/24 kama justificationVyanzo vya mapato ni nini?
Umeuliza vyanzo vya mapato umewekewa.
Hiyo link yako imekuonesha walikusanya zaidi ya 17B karibia 18B, sasa kama waliweza kufika hapo kwanini Washindwe kuwa na makisio ya 25B?
Acha uongoHeeh,Mbona ni ndogo sana wakati Moshi tu ambayo sio jiji imekusanya bilioni 41 na hata mwaka wa fedha wa Serikali haujakwisha?
Sibishani na ChawaAcha uongo
Mdomo matupu bila figures ni sawa na chakula bila chumvi.Sibishani na Chawa
labda wapate katika tozo za watoa huduma ila mapato ya bandar ni ya TPA.Mzee una muda gani hujaenda Tanga? Na kama ulienda uliona bandari ya Tanga kwasasa ilivyo na movements?
ile bandari hivi sasa inahudumu meli nyingi sana.
Sawa,fuatilia Taarifa current ya Baraza la Madiwani la Manispaa ya Moshi,utafahamu,hadi DED akapewa zawadi kwa kupaisha mapato ya Manispaa kutoka bil.41 hadi bil.53Mdomo matupu bila figures ni sawa na chakula bila chumvi.
Wewe mgumu sana kuelewa.Kuna mambo 2 hapa, Bajeti ya Halmashauri ambayo Ina sehemu kuu 2 za Mapato,own source ya Halmashauri na ruzuku ya serikali kuu.Sawa,fuatilia Taarifa current ya Baraza la Madiwani la Manispaa ya Moshi,utafahamu,hadi DED akapewa zawadi kwa kupaisha mapato ya Manispaa kutoka bil.41 hadi bil.53
Halafu usilazimishe kujua kila kitu,kama huna taarifa kaa kimiya usipende kuleta ujuaji.