Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo misikitini wana swali kwanza.Imagine sasa hivi ni saa 10 alfajiri, hakuna hata mishe mishe za boda boda huko nje,yani mji umetulia tuliii tofauti na mikoa mingine kama Dar,Arusha na Mwanza.
Kweli, uko sahihi. Sana sana utakutana na mmoja /wawili wanaenda msikitini, tena wazee......Imagine sasa hivi ni saa 10 alfajiri, hakuna hata mishe mishe za bodaboda huko nje, yaani mji umetulia tuliii tofauti na mikoa mingine kama Dar, Arusha na Mwanza.
Tanga mjini population ndogo sana sasa unafikiria itachangamka vip !?Ni kweli aisee Tanga haijachangamka kabisaa
Uvivu uvivu uvivuuu
Mamwinyi haoImagine sasa hivi ni saa 10 alfajiri, hakuna hata mishe mishe za bodaboda huko nje, yaani mji umetulia tuliii tofauti na mikoa mingine kama Dar, Arusha na Mwanza.
Walau watu wa Indrive hawalali uki request tu hata kama unawahi Flight ya saa 11 alfajiri anakujaMbona hata Arusha haichangamki muda huo?
Huko Njiro hiace zinaamka saa 12.. napo ni chache, saa 2 mama mihogo ndo anaichemsha.
Dar hiace hawalali
Ukitaka kujua maana ya mishemishe kaishi Gongo la mboto na Mbagala 🤣🤣🤣kuna vurugu masaa 24.Walau watu wa Indrive hawalali uki request tu hata kama unawahi Flight ya saa 11 alfajiri anakuja
Dar es Salaam nilishangaa kukuta Mamantilie pale Buguruni anasonga Ugali na kuuza saa 8 usiku 🙌
Uko sahihiUkitaka kujua maana ya mishemishe kaishi Gongo la mboto na Mbagala 🤣🤣🤣kuna vurugu masaa 24.
Kazi ganiTanga ni sehemu gani naweza pata kazi kiwepesi wakuu?.