Jiko la gesi lilivyozima ndoto na uhai wa Familia ya Abedi Falhum Msangi

Jiko la gesi lilivyozima ndoto na uhai wa Familia ya Abedi Falhum Msangi

Gesi imesha leta madhara kwa watu wengi sana,kikubwa ni kufuata masharti,yani hatutakiwi kudharau hata siku moja.Mara nyingi inatakiwa kabla ya kuwasha gesi milango na madirisha ni vizuri vikiwa wazi,ikishawaka ndio unashauriwa kufunga,kingine ni kusikiliza harufu kabla ya kuwasha,ukisikia kuna harufu tu ya gesi usijaribu kabisa kuwasha chochote,Anyway ajali huwa haina kinga ila ni vizuri kuchukua tahadhari kila inapobidi...
 
Funzo
Ukisikia Harufu ya gesi usiwashe jiko
Fungua madirisha kwanza

Zima plate zote
Hakikisha hamna harufu ndio uwashe tena
 
Kuna uhusiano gani kati ya perfume au dawa ya mbu na gesi?
Flammable/inawaka moto

Hata hilo kopo likiisha usilichome linalipuka kama bomu
Ndio maana haziruhusiwi kwenye ndege


Kuna umuhimu wa kufundisha zaidi safety precautions
 
Hatari kubwa iliyo kwenye nyumba nyingi ni hawa wanaoitwa ''wadada wa kazi''. Kwa vile treatment ya hawa wasichana siyo nzuri kwenye familia nyingi, wanakuwa wanaacha kazi mara kwa mara na kusababisha familia nyingi kutafuta replacement kila baada ya muda fulani. Hatari ni kuwa unakuta wengi ni wageni wasioelewa madhara ya gesi. Wengine wanafanyishwa kazi nyingi kiasi ambacho huwafanya kushindwa kuwa makini wanapotumia jiko la gesi. Unaweza kukuta msichana anafanya kazi nyingi kwa mpigo, anapika, anafua, anabembeleza mtoto...
Hapa ndo naelewa umuhimu wa jiko la mkaa tu kwa hawa wanaotoka vijijini
 
Lakini pia,chakuongezea tu inapaswa pia tukawa na ndoo Ikiwa na mchanga ndani kea ajili ya kuzimia endapo itatokea
 
Kuna uhusiano gani kati ya perfume au dawa ya mbu na gesi?
Vyote vina gas, perfume ni harufu na gas,dawa ya mbu ni dawa na gas,
Gas ikikutana na moto inatanuka kutanuka ndio kulipuka kwenyewe
 
June 6 ya mwaka gani?
Au haya maafa yote yametokea mwaka gani?
 
Back
Top Bottom